Somo la 7 kwa ajili ya Mei 18 2019 Kudumisha umoja katika familia kunahitaji juhudi za kila mwanafamilia Familia itakuwa na umoja imara ID: 811486
Download The PPT/PDF document "FUNGUO ZA UMOJA WA FAMILIA" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.
Slide1
FUNGUO ZA UMOJA WA FAMILIA
Somo
la 7
kwa
ajili
ya
Mei 18, 2019
Slide2Kudumisha
umoja
katika
familia
kunahitaji
juhudi
za
kila
mwanafamilia
.
Familia
itakuwa
na
umoja
imara
kama
kila
mwanafamilia
atakuwa
na
funguo
zifuatazo
:
Slide3“
Hapana
Myahudi
wala
Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.” (Wagalatia 3:28)
Kuishi katika Kristo huleta mabadiliko ya kimwili katika maisha yetu (Warumi 6:22; 2 Wakorintho 5:17). Msalaba wa Kristo huondoa mipaka yote inayotenga watu.
YESU
Kwa
kadri
tunavyoishi
karibu
na
Yesu
,
ndivyo
tunavyokuwa
karibu
na
wengine
.
Hii
ni
kweli
pia
kwa
ngazi
ya
familia
.
Yesu
anapokuwa
kiini
cha
kila
moyo
wa
mwanafamilia
,
kuna
kuwa
umoja
kati
ya
mume
na
mke
,
kati
ya
wazazi
na
Watoto,
kati
ya
kaka
na
dada…
Slide4“
Wapenzi
,
na
mpendane
;
kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu, na kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.” (1 Yohana 4:7)
UPENDONeno la kiyunani ágape linatumika katika agano la jipya kwa ajili ya upendo wa Mungu
na upendo tunaopaswa kuonesha.Aina hii ya upendo ni Zaidi ya upendo
wa kimili. Ni kipawa cha Roho Mtakatifu. (Warumi 5:5).
Andika
jina
lako
pembeni
ya sentensi zinazofanana na ukweli maishani mwako leo:
Hebu
linganisha
tabia
yako
na
maana
ya
upendo
wa
ágape
katika
1
Wakorintho
13:4-7. Je; Ni
mabadiliko
gani
unaweza
kufanya
maishani
?
Slide5UNYENYEKEVU
“
Msitende
neno
lo
lote
kwa kushindana wala kwa majivuno; bali kwa unyenyekevu, kila mtu na amhesabu mwenziwe kuwa bora kuliko
nafsi yake.” (Philippians 2:3)Kwa sababu ya Dhambi, ubinafsi umekuwa sehemu inayorithiwa
ya ubinadamu.
“Kama majivuno na ubinafsi
vingewekwa
kando
,
dakika
tano
zingeondoa
hata yaliyo magumu zaidi.” (Ellen G. White, Early Writings, p. 119)Paulo anatuhimiza kuiga mfano
wa
unyenyekevu
wa
Kristo (fg. 4-8).
Tunaweza
kuufikia
unyenyekevu
wa
kweli
tu
kama
tutapiga
magoti
miguuni
pa
msalaba
.
Slide6KUJISHUSHA
“
hali mnanyenyekeana katika kicho cha Kristo
.
”
(
Waefeso
5:21)Wale wanaompenda Mungu wameitwa kujishusha kila mmoja kwa mwenzake. Paulo anatoa mifano mitatu ya kujishusha:Kwanza, kujishusha katika Kristo kuna pande mbili. Pili, kuna masharti katika mifano ya awali ya kujishusha:
Mambo
haya tayari yalikuwa yakitegemewa katika jamii. sasa, kwa nini ushauri wa Paulo uwe
mpya? Tunawezaje kuubeba katika jamii yetu leo?
Slide7KUJITOA
“
Kwa
hiyo
mwanamume
atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili
mmoja.” (Mwanzo 2:24)Kila familia ilianza
kwa kujitoa.Kujitoa huku huenea kwa familia yote:
Kukosa kujitoa husababisha matatizo na mgawanyiko (Tazama kisa
na
Yusufu
na
ndugu
zake).Kujitoa kuliko imara hujenga
muunganiko wa familia ulio imara na wakudumu (Tazama kisa cha Naomi na Ruthu).
Slide8“
Sababu ya
mgawanyiko
na
kutofautiana
katika familia na kanisa ni kujitenga na Kristo. Kuja karibu na Kristo ni kukaribiana mmoja kwa mwenzake. Siri ya umoja wa kweli
katika kanisa na katika familia siyo diplomasia, si usimamizi
, si jitihada za kibinadamu za kushinda
matatizo - ingawa kutakuwa
na
mengi
ya
kufanya
– bali ni muungano na Kristo.”
E.G.W. (The Adventist Home, cp. 27, p. 179)