/
Imeandaliwa   na   Timu Imeandaliwa   na   Timu

Imeandaliwa na Timu - PowerPoint Presentation

everfashion
everfashion . @everfashion
Follow
349 views
Uploaded On 2020-10-22

Imeandaliwa na Timu - PPT Presentation

ya UUJ Kondoa 19 Sept 2016 TAARIFA FUPI YA ZOEZI LA UUJSAM 1 Utangulizi Zoezi la UUJSAM liliangalia ripoti za Afya za mwaka wa fedha 201415 Timu ya ID: 815701

fedha kwa vituo chmt kwa fedha chmt vituo zahanati timu 000 katika ujenzi vya hivyo ufafanuzi afya ununuzi uuj

Share:

Link:

Embed:

Download Presentation from below link

Download The PPT/PDF document "Imeandaliwa na Timu" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.


Presentation Transcript

Slide1

Imeandaliwa na Timu ya UUJ Kondoa19 Sept 2016

TAARIFA FUPIYA ZOEZI LA UUJ/SAM

1

Slide2

UtanguliziZoezi la UUJ/SAM liliangalia ripoti za

Afya za mwaka wa

fedha

2014/15

Timu ya UUJ ina jumla ya wajumbe 15 na wawezeshaji 4 kutoka SikikaZoezi la UUJ limegawanyika katika sehemu 5Mafunzo ya hatua za UUJTathimini ya ripoti ikiwemo Mpango Kabambe wa Afya wa Halmashauri, Ripoti ya Utekelezaji na Fedha nk (2014/15)Uhakiki wa taarifa katika Vituo vya Kutolea huduma za AfyaUfafanuzi na Uthibitisho kutoka kwa CHMTUwasilishwaji wa ripoti kwa wadau, majadiliano na maazimio ya pamoja

2

Slide3

Matokeo ya TathiminiUpatikanaji wa

dawa katika vituo vya

afya

na zahanati kwa mwaka 2014/15 ulikuwa wa kuridhishaKwa sasa mwaka 2016 upatikanaji ni asilimia 86 taarifa kutoka CHMT ambao umechangiwa na kuongezeka kwa mapato ya CHF na NHIFPia, Kituo cha Busi kilionekana kuwa cha mfano kwa kukutwa katika hali nzuri:kuwepo kwa kichomea taka hatarishi, shimo la kutupia kondo la nyuma, Kamati ya Afya ya Kituo kupatiwa mafunzo na Mfawidhi wa kituo nk3

Slide4

Matokeo ya Tathmini……Ukamilishaji

wa Ujenzi

wa

Zahanati 17Fedha za Ujenzi ziliombwa lakini hazikupokelewaZahanati 3 ujenzi umekamilika (Humai, Hachwi na Makirinya)Zahanati 6 ujenzi ulianza kwa nguvu za wananchi ila fedha za umaliziaji zilikosekana kutoka Halmashauri(Baura- nyumba ya mtumishi, Mafai, Mongolo, Masange –jengo jipya, Potea na Mwisanga)Zahanati 8 ujenzi haujaanza (Mulua, Salare, Berabera, Kalamba, Kwamafunchi, Kinyasi –jengo jipya, Mitati, Choka,

4

Slide5

Ujenzi…….Pamoja na

zahanati ya

Hachwi

kukamilika haijawahi kutumika. Maoni ya CHMT ni kuwa kuna makosa ya kiujenzi (ramani ya zamani). Hata hivyo sasa zahanati iko halmashauri wa mji.Zahanati za Mongolo na Potea zilitumia ramani ya zamani na kusababisha mgogoro katika kuziendeleza. Hata hivyo CHMT imeahidi kukutana na uongozi wa maeneo husika ili kujadili na kupata suluhisho

namna

ya

kuendeleza

zahanati

hizoKwa zahanati ambazo ujenzi umeanza ila haujakamilika, CHMT wameahidi kuzipa kipaumbele kuhakikisha zinamalizika. Halmashauri ina mkakati gani kuhakikisha zahanati ambazo zimeanza ujenzi, zinakamilika kwa wakatiBaadhi ya zahanati ambazo ujenzi haujaanza, wananchi hawaelewi wajibu wao katika kuchangia ujenzi. Hivyo ni wajibu wa halmashauri kushirikiana na viongozi wa vijiji na kata kuwaelimisha na kuhamasisha wananchi katika kuchangia shughuli za ujenzi wa vituo vya kutolea hudumaCHMT waliahidi kutembelea maeneo ambayo ujenzi haujaanza wakiwa na Mhandisi ili kushauri ujenzi sahihi kwa kufuata ramani mpya

5

Slide6

Ujenzi……..Hospitali: CCHP ilipanga

ukarabati wa wodi moja,

v

y

oo vya nje na mfumo wa maji.Timu ya UUJ ilihakiki ukarabati na kupata ufafanuzi kutoka kwa CHMT kama ifuatavyo:Vyoo vya nje: Fedha zilizoombwa Sh. 8,000,000/ hazikupokelewa hivyo ukarabati huo haukufanyika. CHMT imeahidi kukarabati vyoo hivyo kwa kutumia fedha za uchangiaji kwa mwaka 2016/17. Timu ya UUJ inashauri ukarabati huo ufanyike kwa haraka kwa sababu hali ya vyoo hivyo ni mbaya sanaWodi no. 6: Fedha iliyotengwa ilikuwa Sh 10,ooo,000/= hata hivyo iliyopokelewa ni sh. 3,000,000/= na haikutumika. Ila ukarabati ulifanyika kwa asilimia 50 na kwa sasa umekamilika. CHMT walitoa ufafanuzi kwamba, utekelezaji wa ukarabati ulitumia fedha kutoka fedha za uchangiaji na kugharimu kiasi cha Sh. 49,954,600/= ikijumuisha pia upanuzi wa

jengo

la

upasuaji

la

hospitali

ambao

umekamilika mwaka huu 20166

Slide7

Ujenzi………Ukarabati wa mfumo wa

maji: mwaka 2014/15 fedha zilizotengwa

ni

sh. 16,000,000

na hazikupatikana hivyo ukarabati haukufanyika mwaka huo. Kwa sasa ukarabati uko hatua ya mwisho na kiasi cha sh. 14,451,000 zimetumika kwa kutumia fedha za uchangiaji. Marekebisho yaliyofanyika hadi sasa ni kujenga kisima cha maji kina ujazo wa lita 70,000, kuweka tanki la juu lenye ujazo wa lita 10,000 na pump ya kupandisha maji.7

Slide8

Hali ya majengo ya zahanatiBaadhi

ya majengo ya zahanati

yako

kwenye hali mbaya ambayo ni hatari kwa watoa na watumia hudumaKwa mfano: Mongoroma, Masange, Kwadelo ni jengo la Kliniki ya kinamama na KinyasiMajengo yenye miundombinu ambayo sio rafiki: Hospitali ya wilaya, Kisese, Thawi na Sakami Majengo yenye miundombinu rafiki kama Bereko, Mnenia na Baura8

Slide9

Nyumba za watumishiMnenia: Hakuna

makazi ya kutosha,

kwa

sasa jengo la wodi ya wazazi inatumiwa kama makazi: Humai na Baura: Watumishi wanatumia sehemu ya zahanati kama makaziMasange, Mkekena, Humai, Makirinya na Kinyasi hakuna nyumba za watumishiMasawi na Sakami: Nyumba za watumishi ziko katika hali mbaya9

Slide10

Ziara Za VituoniKatika vituo

vya kutolea huduma 23 (

zahanati

na Vituo vya Afya) tulivyotembelea, hali ilikuwa kama ifuatavyo:Umeme : Upo katika vituo 19 , Umeme haupo katika zahanati za Humai, Makirinya & Kinyasi na zahanati ya Kikore Solar ni mbovuMaji: Yapo katika vituo 3 tu na vituo 20 vilivyobaki hakuna ambavyo ni:(Mnenia, Masange, Mkekena, Kikore, Mongoroma, Thawi, Salanka, Bereko, Humai, Baura, Haubi, Hebi, Makirinya, Sakami, Bolisa, Kwadelo, Kinyasi, Masawi, Bumbuta na Kikilo)Vyoo: Vituo vya kutolea huduma vitano vyoo vipo katika Hali nzuri, vituo 9 Vinahitaji Ukarabati, na vituo 10 vinahitaji Ujenzi Upya ambavyo ni(Mkekena, Mongoroma, Thawi, Humai, Makirinya, Sakami, Bolisa, Kinyasi, Bumbuta)

10

Slide11

Ziara Za Vituoni……Kamati za

Afya za Vituo: Vituo

vyote

vilivyotembelewa (23) vina kamati za uendeshaji wa vituo. Hata hivyo ni kamati ya afya ya kituo cha Afya cha Busi ndiyo iliyopata mafunzo ya majukumu ya kamati.Hali ya Majengo ya Zahanati na Vituo vya Afya: Majengo 18 yako katika hali nzuri, Majengo 4 yanahitaji Ukarabati, na majengo 3 yanahitaji Ujenzi Upya ambayo ni Masange, Mongoroma na Kinyasi.Uwepo wa watoa hudumaBado kuna changamoto kubwa ya watoa huduma katika vituo vyote tulivyotembelea. Hatahivyo ufafanuzi wa CHMT umeonyesha ongezeko la watoa huduma kutoka 204 (2012/13 ) hadi 394 (2014/2015)Ila vituo vilivyokuwa havina watumishi

wakati

wa

zoezi

:

Thawi

:

watumishi 2 walikuwa likizo ya uzazi, mmoja alikuwa safarini Kikore:Mmoja alikuwa safarini na mmoja likizo ya uzaziSalanka: Walikwenda benki kubadilisha sahihi za akaunti11

Slide12

Ujenzi wa Mashimo Ya Kutupia Kondo la Nyuma

Mwaka 2014/15 CCHP ilipanga kujenga

mashimo

maalum ya kutupa kondo la nyuma kwa zahanati za: Kiteo, Bumbuta, Baura, Bolisa, Mkekena, Bukulu, na Hebi.Shughuli hii haikutekelezwa kwa sababu fedha haikutoka kama ilivyopangwaKwa sasa zinatupwa vyooni, septic tanks au kuwafungia wamama kwenda kutupa nyumbaniHii husababisha harufu kali vyooni na pengine inaweza kuleta maambukizo na usumbufu kwa familia12

Slide13

Ujenzi wa mashimo ya Kondo la nyuma…..

Pahi na Busi pekee

ndio

wana mashimo ya kutupia kondo la nyuma na vichomea takaHospitali ya wilaya pia haina kichomea taka hatarishiCHMT waliahidi kulipa kipaumbele swala hili.CHMT walisema kwa sasa makusanyo ya ndani ya vituo na fedha za mfuko wa jamii (CHF) yameongezeka hivyo watashirikiana na kamati za afya za vituo kuweza kujenga kwa kutumia fedha tajwa hapo juu. Baadhi ya zahanati zimepokea fedha za BRN milioni 10 kwa kituo, wameshauri kiasi cha fedha kutumika katika ujenzi wa mashimo ya kutupa kondo la nyuma.13

Slide14

Ununuzi wa dawa na vifaa tiba

Hospital: Timu ya

UUJ,

ilitaka

kujiridhisha na ununuzi wa dawa na vifaa tiba kutoka vyanzo tofauti.Basket fund: Ilipokelewa Sh. 73, 573,197/= na kutumia Sh. 73, 322,953/= sawa na asilimia 93.16Papo kwa papo: Ilipokelewa Sh. 25, 621,900/= na kutumia Sh. 24, 999,400/= sawa na asilimia 93.19Bima ya Afya ya Taifa: Ilipokelewa Sh. 6, 807,513/ na kutumia Sh. 4, 836,000/= sawa na asilimia 71.03Mfuko wa Jamii: Hakuna fedha iliyotumika kwa ajili ya ununuzi wa dawa kama ilivyoonyeshwa kwenye ripoti ya utekelezaji kuwa ununuzi umefanikiwa kwa asilimia 100.CHMT wamekiri ni makosa ya kiuandishi kwa kuwa mwaka 2014/15 Uchangiaji wa CHF ulikuwa mdogo sana na wilaya ilikuwa ya mwisho

kimkoa

14

Slide15

Ununuzi wa dawa na Vifaa Tiba…..

Vituo vya

Afya:

Ripoti ya utekelezaji iliyonyesha ununuzi wa vifaa vya kupima uzito na urefu vilinunuliwa ila hakuna fedha iliyotumika. CHMT walitoa ufafanuzi wa kupokea vifaa hivyo kutoka kwa wafadhili wa TFNC.Zahanati: Ripoti ya utekelezaji ulionyesha ununuzi wa dawa wa sh 47,327,179/= na baki ya Sh. 11,030,208/=Timu ya UUJ ilitaka kujua kwanini kulikuwa na bakaa wakati upatikanaji wa dawa haujafikia asilimia 100?Ufafanuzi wa CHMT: (Haukuridhisha Timu)15

Slide16

Ununuzi wa Mitungi ya Gesi

Vituo vya Afya

:

Timu

ya UUJ ilipenda kujiridhisha kuhusu ununuzi wa mitungi 8 badala ya 40 kama ilivyokuwa imepangwa kwa gharama ya 4,500,000/= Iliyopokelewa ni Sh. 4,913,725 na kutumika sh. 4,500,000/=Ufafanuzi wa CHMT: Hauridhisha timu.16

Slide17

Ununuzi wa Mitungi…….Zahanati:

Timu ya UUJ ilitaka kupata

ufafanuzi

wa wa kutumia sh. 23,399,997/= kwa kujaza mitungi 64 tu badala ya ununuzi wa mitungi 260Ufafanuzi wa CHMT: Mitungi iliyojazwa na PLG ilikuwa 272 kwa mwaka. Vielelezo vilitolewa (ledger) na kuthibitishwa na timu.Timu ya UUJ inashauri CHMT ni vema kuwa makini katika kuandika ripoti kwa kuwa inaweza kuleta maana nyingine kama inavyoonekana ujazaji ulikuwa wa mitungi 64 tu kwa mwaka badala ya 272. 17

Slide18

Motisha kwa watoa hudumaRipoti

ya Utekelezaji ilionyesha kuwalipa

watoa

huduma 60 kutoka zahanati 36 kupitia P4P jumla ya Sh. 3,360,000/=. Timu ilipopita kwenye zahanati haikupata uthibitisho wa kutosha.Ufafanuzi wa CHMT: Fedha hizo zilitumika kuwalipa watumishi 6 siku ya mei mosi na pia watumishi wa wodi no 2 wa hospitali kwa kupunguza vifo vya mama na mtoto.Hata hivyo orodha na vocha za malipo hazikupatikana kutoka kwa ofisi ya Mganga Mkuu ili kujiridhisha (Timu iliambiwa ziko katika ofisi ya Mweka hazina)18

Slide19

Motisha kwa watumishiFedha zilitumika sh. 2,000,000

kuwalipa watumishi 18, timu ya UUJ ilipenda

kupata

ufafanuzi na uthibitishoUfafanuzi wa CHMT: Fedha hizo zilitumika kuwalipa wafanyakazi bora siku ya mei mosi. Hata hivyo orodha na vocha za malipo hazikupatikana kutoka kwa ofisi ya Mganga Mkuu ili kujiridhisha (Timu iliambiwa ziko katika ofisi ya Mweka hazina)19

Slide20

Malipo ya ziada:Kulipa posho

kwa muda wa ziada

za

kutoa huduma za dharura. Kiasi cha shilingi 31,200,000/- zilitumika . Ufafanuzi wa CHMT : Fedha hizi ni za on call allowance ambapo zilikuja na kulipwa kwa wahusika. Hata hivyo CHMT wamekiri ni miongoni mwa vocha zilizotumika kulipa zaidi ya mara moja katika upotevu wa fedha za Halmashauri.Timu ilitaka uthibitisho wa malipo kwa muda wa ziada kwa watumishi wa vituo vya afya. Fedha iliyotumika ni 7,800,000/=Ufafanuzi wa CHMT: Fedha hizi ni malipo baada ya saa za kazi (on call allowance) na zimekuwa zikitolewa kwa watumishi .Hata hivyo orodha na vocha za malipo hazikupatikana kutoka kwa ofisi ya Mganga Mkuu ili kujiridhisha (Timu iliambiwa ziko katika ofisi ya Mweka hazina)

20

Slide21

Ununuzi wa vocha za mawasilianoTimu

ilipenda kupata ufafanuzi wa

fedha

Sh 5,500,885/- zilizotolewa na BF hazikutumika kama ilivyopangwa. Ufafanuzi wa CHMT.- dokezo kwa ajili ya malipo liliandaliwa ila likakwama kwa kuwa fedha hazikuwepo –ni miongoni mwa fedha za Halmashauri zilizopotea.21

Slide22

Ununuzi wa mafutaTimu ilipenda

kujiridhisha matumizi ya Sh. 1,000,000/= kwa

ajili

ya kuwatambua wazee wasio na uwezo na watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi 300. kiasi kilichotumika ni mara mbili ya fedha iliyoombwa (Sh 500,000/=). Zoezi la ukaguzi wa masuala ya vifo vya uzazi fedha zilizotumika ni 130,440/= kwa asilimia 100Huduma za mkoba kwa vijiji 12, fedha iliyotumika ya mafuta 2,500,000/= Ufafanuzi wa CHMT.- Fedha hii ilitumika kununua mafuta (disel) kwa pamoja. Timu inashauri fedha husika iliyopangwa kwenye shughuli itumike kama ilivyopangwa badala ya kubadilisha matumizi ili isiathiri shughuli husika.22

Slide23

Huduma za VVU na UKIMWITimu ilipenda

kujua usimamizi na ufuatiliaji

wa

shughuli za UKIMWI zilitekelezwaje wakati hakukuwa na fedha kwa ajili ya shughuli hiyo.Ufafanuzi wa CHMT.- Shughuli iliunganishwa na kazi za kawaida za usimamizi elelekezi ambao ulifanyika kila mwezi kwa fedha za BF. Timu ilikutana na changamoto ya dawa aina ya septrin ambayo ni muhimu kwa WAVIU.Ufafanuzi wa CHMT.- wamekiri kuna uhaba wa septrin kwasababu zamani zilikuwa kwenye mradi msonge ( vertical program) kwa sasa umesitishwa. Teyari mfamasia amebainisha mahitaji ambayo ni takribani makopo 700 ambayo ni gharama kubwa ukilinganisha na uwezo wa halmashauri. Hata hivyo CHMT watashauri vituo vinavyotoa huduma za VVU/UKIMWI kutumia mapato ya ndani kwa ajili ya ununuzi wa septrin.

23

Slide24

OPRAS- Timu ya UUJ ilitoa maoni kwa

CHMT kuhusu wa fomu za

OPRAS

Katika

vituo vilivyotembelewa zaidi ya asilimia 90 ya watumishi waliohojiwa hawakuwa wamejaza OPRAS mwaka 2014/15Wengi wa ambao walikuwa wamejaza mwaka huu 2016/17 hawakuwa na uelewa juu ya umuhimu na utaratibu wa ujazaji wa OPRASTimu inashauri ni vema watumishi wakaelewa umuhimu wa ujazaji wa fomu za OPRAS na kupata mrejesho kwa wakati 24

Slide25

Mapendekezo.Timu inashauri yafuatayo:

Kuhakiki kwa makini

taarifa

mbalimbali mfano mpango mkakati , mpango kabambe , ripoti ya utekelezaji ili kuepuka makosa yanayozuilika kwa mfano kwenye taarifa ya mpango mkakati ilionesha kuwa maambukizi ya UKIMWI yanachangiwa na wafanyabiashara wa kahawa na madini.CHMT, kamati mbalimbali za halmashauri, mhandisi wa HW, kuhakikisha wanashiriki na kutoa ushauri tangu mipango ya awali hadi kukamilika kwa ujenzi.Kuelimishwa

kuhusu

sera,miongozo

,

na

ramani

kwenye vijiji na kata hasa viongozi25

Slide26

MAPENDEKEZOKuhakiki maeneo

yanayotengwa kwa ajili

ya

ujenzi wa vituo vya kutolea huduma ili kuepuka migogoro na jamii inayohusika. Mfano mgogoro wa BolisaFedha za CHF na tele kwa tele zirudi vituoni kwa wakati ili kuboresha utoaji wa hudumaHalmashauri ifanye mafunzo kwa kamati za usimamizi wa vituo vya huduma mara tu wanapochaguliwa26

Slide27

ASANTENI.......27

Related Contents


Next Show more