/
WIMBO WA KIFALME WA MAPENZI WIMBO WA KIFALME WA MAPENZI

WIMBO WA KIFALME WA MAPENZI - PowerPoint Presentation

lastinsetp
lastinsetp . @lastinsetp
Follow
349 views
Uploaded On 2020-08-27

WIMBO WA KIFALME WA MAPENZI - PPT Presentation

Somo la 6 kwa ajili ya Mei 11 2019 Jinsi ya Kuonesha Upendo wetu Upendo wa Kiroho na wa kimwili Upendo na Urafiki Kuonesha upendo ID: 806163

upendo kwa mungu katika kwa upendo katika mungu mahusiano wimbo kuwa ulio ngono bora kama wake bustani hivyo kimwili

Share:

Link:

Embed:

Download Presentation from below link

Download The PPT/PDF document "WIMBO WA KIFALME WA MAPENZI" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.


Presentation Transcript

Slide1

WIMBO WA KIFALME WA MAPENZI

Somo

la 6

kwa

ajili

ya

Mei 11, 2019

Slide2

Jinsi ya Kuonesha

Upendo wetu:Upendo wa Kiroho na wa kimwiliUpendo na UrafikiKuonesha upendo kimwiliJinsi ya kudumisha upendo uwe hai:Upendo unaosubiriUkomo wa Upendo

Mahusiano ya kingono ni mada mwiko katika tamaduni nyingi. Kwa ujumla zimechukuliwa kama kitu chenye dhambi.Hata hivyo, biblia hueleza kuwa, Mungu alimuumba mwaume na mwanamke sio tu ili wazaliane bali pia wafurahie mahusiano ya unyumba na toshelevu, kimwili na kiroho.Mahusiano ya kingono ni zawadi kutoka kwa Mungu. Je; Tunawezaje kuyafurahia katika namna sahihi? Je; ipi ni mipaka au ukomo katika aina hii ya mahusiano?

Slide3

UPENDO WA KIMWILI NA KIROHO

maana mlinunuliwa kwa thamani. Sasa basi, mtukuzeni Mungu katika

miili yenu.” (1 Wakorintho 6:20)Kuna dhana potofu ya kiyunani iliyopenyeza kwenye ukristo yumkini tangu mwanzo wake : kwamba miili yetu ni mibaya kwa kurithi na roho zetu ni nzuri kwa kurithi.Matokeo yake, ngono imetazamwa kama dhambi.Hata hivyo, mwili na roho havitenganishwi kwa mujibu wa Biblia (Mwanzo 2:7). Utakatifu si kitu kisichopatana

na ngono. Maisha ya ngono sawa na kanuni za afya hayamzuii

mtu kuwa mtakatifu kimwili na kiroho mbele za Mungu.Wimbo

ulio bora huzungumzia mahusiano ya kimwili

katika uasilia. Nyayo, kitovu, matiti

, mabusu,… Mungu aliviweka vyote hivi kwa ajili ya furaha

ya kimwili kwa wenzi (5:10-16; 7:1-9).

Slide4

UPENDO NA URAFIKI

Kinywa chake kimejaa maneno matamu, Ndiye

mzuri sana pia pia. Ni huyu mpendwa wangu, ni huyu rafiki yangu, Enyi binti za Yerusalemu!”

(Wimbo Ulio

Bora 5:16)Ili kufurahia mahusiano katika ukamilifu wake,

mwanaume na mwanamke wanaooana ni

lazima wawe marafiki kwanza. Marafiki wa

dhati.

Wanakuwa

na

muda

pamoja

,

wanawasiliana

kwa

uwazi

,

na

kujaliana

mmoja kwa mwenzake.Huo urafiki wa kupendana huwasaidia wenzi kuwa pamoja, wakioneshana vile wanavyovutiana wao kwa wao pamoja na kukamilishana na ishara za mapenzi.

Hata

hivyo

,

upendo

wa

kweli

sio

kitu

cha

asili

kwetu

,

bali

ni

kipawa

kutoka

kwa

Roho

Mtakatifu

.

Huo

upendo

wakujitoa

usio

na

ubinafsi

ni

kiunganishi

imara

na

cha

kudumu

Slide5

KUONESHA UPENDO KIMWILI

Amka, kaskazi; nawe uje, kusi;

Vumeni juu ya bustani yangu, Manukato ya bustani yatokee. Mpendwa wangu na aingie bustanini

mwake, Akayale

matunda yake

mazuri

.”

(Wimbo Ulio

Bora 4:16)Mungu

aliwahimiza Adamu na

hawa kuwa “mwili

mmoja

katika

bustani

ya

edeni

.

Katika

sitiari

hii kutoka katika Wimbo Ulio Bora, mwili wa mwenzi huwa

bustani

ambayo

wanaweza

kuifurahia

.

Maelezo

ya

namna

hii

huonesha

kuwa

mahusiano

ya

kingono

no

zawadi

kutoka

kwa

Muumba

wetu

.

Namna

iliyozoeleka

ya

kuelezea

mahusiano

ya

undani

wa

unyumba

katika

Biblia

ni

kumjua

" (Mw. 4:1, 17, 25; 1S. 1:19; 1Wf. 1:4; Lk. 1:34).

Kitenzi

hicho

pia

hutumika

kuelezea

uhusiano

kati

ya

mwanadamu

na

Mungu

(Yohana 17:3).

Slide6

UPENDO UNAOSUBIRI

Bustani iliyofungwa ni umbu langu, bibi arusi, Kijito kilichofungwa, chemchemi iliyotiwa muhuri.

” (Wimbo Ulio Bora 4:12)Hoja katika Wimbo Ulio Bora ni kwamba mwanaume na mwanamke wabaki bikra (“Bustani iliyofungwa") hadi watakapofunga ndoa.katika Wimbo Ulio Bora 8:8-10, familia ya binti Mshunami aliyekuwa akijiuliza ikiwa alikuwa ukuta (uliofungwa) au mlongo (uliowazi).Anathibitisha kuwa yeye

bado ni bikra (ukuta). Hilo linamtuliza, hebu wapenzi wafurahie “maziwa na

asali” (4:11), kujitolea kamili na kwa usawa.yaani, wanajisikia kana kwamba wamekwisha fika katika

nchi ya ahadi [inayotiririka maziwa

na asali] kwa pamoja.

Slide7

MIPAKA YA UPENDO

Nitie kama muhuri moyoni mwako, Kama muhuri

juu ya mkono wako; Kwa maana upendo una nguvu kama mauti, Na wivu ni mkali kama ahera

. Mwako wake ni

mwako wa

moto, Na miali

yake

ni

miali ya

Yahu.”

(Wimbo

Ulio

Bora 8:6

)

Muunganiko

wa

mwanaume

na

mwanamke

huonesha

sura ya Mungu

(

Mwanzo

1:26-27).

Hata

hivyo

,

dhambi

imeharibu

mahusiano

ya kingono. Hivyo basi, Mungu aliweka mipaka kwenye ngono. Na ameweka bayana kipi ni sawa na kipi si sawa (Walawi 20:7-21; Warumi 1:24-27).Uzinzi, mahusiano ya ngono miongoni mwa wanafamilia, ushoga, ngono kati ya wanadamu na wanayama na namna zote za ngono zisizokubalika zinahesabika kuwa ni dhambi katika biblia.Tunahimizwa kukubali kuwa miili, shughuli zetu na uwezo wetu wa kushiriki ngono ni mali ya Mungu. Lazima tuvitumie sawa na mpango wake – Kwa msaada wake.

Slide8

“Upendo wa

Mungu

unaotoka kwa Kristo hauharibu upendo wa kibinadamu, bali unaujumuisha. Kwao upendo wa kibinadamu husafishwa na

kutakaswa, kuinuliwa na nakupewa heshima. Upendo wa kibinadamu hauwezi kuzaa matunda yake ya thamani mpaka umeunganishwa na asili ya kimungu na kufundishwa kukua kuelekea mbinguni. Yesu anataka kuona ndoa zenye

furaha, familia zenye furaha.Kama

ilivyo kwa kila zawadi

nzuri kutoka Mungu

zilizotolewa kwa

uhifadhi wa ubinadamu, ndoa

imepotoshwa na dhambi; lakini

ni kusudi la injili ya

kurejesha usafi na uzuri wake ...

Neema

ya

Kristo

peke

yake

,

inaweza

kufanya

taasisi hii kuwa kile ambacho Mungu alikusudia- wakala wa baraka na kukuza ubinadamu. Na

hivyo

familia

za

duniani

,

katika

umoja

wao

na amani na upendo, zinaweza kuwakilisha familia ya mbinguni.”E.G.W. (The Adventist Home, cp. 15, p. 99-100)

Related Contents


Next Show more