/
MAJARIBIO, DHIKI NA UWANJA WA MAPAMBANO MAJARIBIO, DHIKI NA UWANJA WA MAPAMBANO

MAJARIBIO, DHIKI NA UWANJA WA MAPAMBANO - PowerPoint Presentation

mastervisa
mastervisa . @mastervisa
Follow
345 views
Uploaded On 2020-08-28

MAJARIBIO, DHIKI NA UWANJA WA MAPAMBANO - PPT Presentation

Somo la 9 kwa ajili ya Novemba 30 2019 Vyombo Vitakatifu Ezra 1911 Waliorejeshwa Ezra 21 Nehemia 757 Kubaki nyuma Walawi Ezra 8120 Wakazi ID: 808397

ezra mungu watu katika mungu ezra katika watu yerusalemu kwa nehemia yake kila walawi ili wake vyombo hekalu hata

Share:

Link:

Embed:

Download Presentation from below link

Download The PPT/PDF document "MAJARIBIO, DHIKI NA UWANJA WA MAPAMBANO" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.


Presentation Transcript

Slide1

MAJARIBIO, DHIKI NA UWANJA WA MAPAMBANO

Somo

la 9

kwa

ajili

ya

Novemba

30, 2019

Slide2

Vyombo

Vitakatifu

(Ezra 1:9-11)Waliorejeshwa (Ezra 2:1; Nehemia 7:5-7)Kubaki nyuma: Walawi (Ezra 8:1-20)Wakazi wa Yerusalemu (Nehemia 11:1-24)Waimbaji wa kwaya (Nehemia 12)

Wana wa Israeli walipitia majaribio na dhiki walipokuwa wamerudi kutoka Babeli.Kurudi katika nchi ya Ahadi haikuwa rahisi. Hata hivyo, daima Mungu alikuwa akiwalinda na kuwatia nguvu.Orodha katika vitabu vya Ezra na Nehemia inaonyesha namna Mungu anavyoitawala historia. Pia anatujali kila mmoja wetu na kwa undani wa maisha yetu.

Slide3

VYOMBO VITAKATIFU

Belshaza

, alipokuwa akionja ile divai, akaamuru

wavilete vile vyombo vya dhahabu na fedha, ambavyo baba yake, Nebukadreza, alivitoa katika hekalu lililokuwa Yerusalemu; ili kwamba mfalme, na

wakuu wake,

na wake

zake, na

masuria

wake, wapate

kuvinywea

.

” (Danieli 5:2)

Danieli 1:2 inasema kwamba Nebukadreza alivichukua vyombo vya hekalu naye akaviweka katika hekalu la mungu wake.Ezra aliorodhesha vyombo 2,499 kati ya 5,400 vilivyorudishwa kwenye Hekalu la Yerusalemu.Mungu aliitunza hesabu ya vyombo vyote, na hakuna hata kimoja kilichobaki Babeli. Yeye anaitawala historia na anajali kila kitu.

Belshaza

alisukumwa

kwa

kujaribu

kutumia

vyombo

vitakatifu

kwa

matumizi

ya

kawaida

.

Hakutaka

kuukubali

utakatifu

wa

Mungu

.

Slide4

WALIOREJESHWA

Basi

kusanyiko lote zima, jumla

yake ilikuwa watu arobaini na mbili elfu na sitini.” (Ezra

2:64)Wengi

wa Wayahudi

waliendelea kutunza

nasaba zao

. Hawakuwahi

kupoteza

utambulisho wao wakati

wakiwa uhamishoni. Walijua kabila na familia zao.Mungu anajua kila familia na kila mtu, pamoja na

kazi zao. Hii

inaaksiwa kwenye

orodha ya

majina

katika

Ezra.

Hata

ambao hawakuzijua nasaba zao (zaidi ya Wayahudi 10,000) walijumuishwa pia kwenye orodha ya waliotoka uhamishoni.

Kila

mmoja wetu ana nafasi yake na ya kipekee katika kazi ya Mungu.

Slide5

KUBAKI NYUMA: WALAWI

Ndipo

Bwana, Mungu wako, atakapougeuza utumwa

wako, naye atakuhurumia, tena atarejea na kukukusanya kutoka mataifa yote, huko alikokutawanyia Bwana, Mungu wako.” (Kumbukumbu la

Torati 30:3)

Wengi walisita kuiacha nchi

yao waliozaliwa licha ya utimizwaji

wa kushangaa wa unabii wa

Kumbukumbu la Torati 30:1-6.Hata hivyo,

wito

wa Ezra uliwasukuma baadhi yao kwenda Yuda na kuungana

na watu waliokuwa wametangulia miaka 80 kabla.Ezra alishangaa sana pale alipoona hakuna Walawi kwenye orodha ya waliohiari kuondoka (Ezra 8:15).

Slide6

“Nikawakusanya

penye

mto ushukao kwenda Ahava; na huko tukapiga kambi

yetu muda wa siku tatu; nikawakaguwa watu, na makuhani, wala sikuona hapo wana wa Lawi hata mmoja.” (Ezra

8:15)Walawi walikuwa ni

wa muhimu sana. Walikuwa walipaswa

kuwasaidia makuhani ili kuendesha matengenezo

ya kiroho ya Ezra. Kwahiyo, wito

wa pili ulifanywa ili

kuwashawishi

baadhi ya walawi kwenda Yerusalemu.Ezra alituma baadhi

ya wajumbe kwenda Kasifia ili waongee na Walawi. Hatimaye Ido alituma Walawi 38 na watumishi wengine 220 wa hekaluni (aya. 17-20).KUBAKI NYUMA: WALAWIWalikusanyika, wakafunga

na kjinyenyekeza mbele za Mungu. Mungu aliwaahidi kuwa wangerudi

katika nchi yao, hivyo waliomba ulinzi Wake ili

kufika pale.Walitambua kuwa walimtegemea Mungu

peke

yake.

Slide7

“Kama tu wamoja kiakili

na

Mungu, mapenzi yetu yatamezwa na mapenzi yake nasi tutaenda kokote

Mungu anakotuongoza. Kama mtoto mpendwa awekavyo mkono wake katika mkono wa baba yake, na anatembea nae kwa imani kubwa iwe ni gizani au nuruni, hivyo wana na binti

za Mungu inawapasa watembee

na Mungu

kapitia furaha au

huzuni.”

E.G.W. (That I May Know Him, September 1)

Slide8

WAKAZI WA YERUSALEMU

Basi

, wakuu wa watu walikuwa wakikaa Yerusalemu

; nao watu waliosalia wakapiga kura, ili katika watu kumi kumleta mmoja akae ndani ya Yerusalemu mji mtakatifu, na wale kenda wakae

mijini.” (Nehemiah 11:1)

Ukuta

wa Yerusalemu ulikuwa umeshajengwa

tayari. Hivyo maisha ya kila

siku yalipaswa yarudi katika kawaida

yake

. Kila mtu ilimbidi kurudi nyumbani kwao.Watu

wengi walikuwa wakiishi vijijini katika nchi yote ya Yuda.Baadhi ya watu tu walihiari kuacha nchi za mababa zao ili kuhamia Yerusalemu, wakiendana na mtindo wa maisha wa mji

(Nehemia 11:2).Ilikuwa ni dhabihu muhimu, lakini Yerusalemu

ilipaswa kujawa na watu tena, na huduma za

Hekalu zibaki kuwa imara.

Slide9

WAIMBAJI WA KWAYA

Ndivyo

walivyosimama mikutano miwili yao walioshukuru

nyumbani mwa Mungu, na mimi, na nusu ya mashehe pamoja nami.” (Nehemia 12:40)Mungu alikuwa amewasaidia katika kuujenga upya

ukuta. Sasa,

walipaswa kuuweka

wakfu

na

kumshukuru

Mungu

hadharani kwa

msaada Wake.Nehemia aliorodhesha makuhani na Walawi, Tena, alichagua waimbaji wa kwaya

mbili ambao wangeuweka

wakfu

ukuta.

Juu

ya

ukuta

, Ezra aliongoza kwaya moja na Nehemia aliiongoza nyingine. Kila kwaya ilielekea sehemu tofauti

ya

mji na zikakutana kwenye Hekalu.Watu wote walimsifu Mungu. Sherehe yake

ilisikiwa

hadi

mbali

mno

(

Nehemia

12:43).

Slide10

“Pale tutakapokuwa na

shukurani

za ndani kwa rehema na wema wa upendo wa Mungu,

tutamsifu Yeye, badala ya kulalamika. Tutauongelea ulinzi mwema wa Bwana, kwa huruma ya Mchungaji Mwema. Lugha ya moyo haitakuwa na manung’uniko na malalamino. Sifa, kama chemchemi

ibubujikayo, itatoka kwa yule

anayemwamini Mungu

kweli kweli.”

E.G.W. (Sons and Daughters of God, July 10)

Related Contents


Next Show more