/
“ Hili   ni   zuri , nalo “ Hili   ni   zuri , nalo

“ Hili ni zuri , nalo - PowerPoint Presentation

vizettan
vizettan . @vizettan
Follow
351 views
Uploaded On 2020-08-29

“ Hili ni zuri , nalo - PPT Presentation

lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu ambaye hutaka watu wote waokolewe na kupata kujua yaliyo kweli 1Timotheo 234 ID: 810912

mungu kwa ninyi kuwa kwa mungu kuwa ninyi ndani mavuno katika mathayo yake mambo lakini yeye kila kazi zote

Share:

Link:

Embed:

Download Presentation from below link

Download The PPT/PDF document "“ Hili ni zuri , nalo" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.


Presentation Transcript

Slide1

Hili

ni

zuri

, nalo

lakubalika

mbele

za

Mungu

Mwokozi

wetu

;

ambaye

hutaka

watu

wote

waokolewe

,

na

kupata

kujua

yaliyo

kweli

(

1Timotheo 2:3-4

)

Slide2

maana

sisi

hatuwezi kuacha kuyanena mambo tuliyoyaona na kuyasikia’ ”(Matendo 4:20)

Slide3

Akawaambia

, Nifuateni,

nami

nitawafanya kuwa wavuvi

wa watu’ ”(Mathayo 4:19)

Slide4

Ungameni

dhambi zenu

ninyi

kwa ninyi, na kuombeana

, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii”(James 5:16)

Slide5

Hata

walipokwisha

kumwomba

Mungu, mahali pale walipokusanyika pakatikiswa, wote wakajaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la Mungu kwa ujasiri”(Matendo 4:31)

Slide6

lakini

kazi

hizi zote

huzitenda Roho huyo mmoja,

yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye”(1 Wakorintho 12:11)

Slide7

ndivyo

litakavyokuwa

neno langu

, litokalo katika kinywa changu; halitanirudia bure, bali litatimiza mapenzi yangu, nalo litafanikiwa katika

mambo yale

niliyolituma

(

Isaya

55:11)

Slide8

Na

alipowaona makutano

, aliwahurumia

, kwa sababu

walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchungaji” (Mathayo 9:36)

Slide9

Mwe

tayari siku

zote

kumjibu kila mtu

awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofu”(1 Peter 3:15)

Slide10

dipo

alipowaambia

wanafunzi wake,

Mavuno ni

mengi, lakini watenda kazi ni wachache.Basi mwombeni Bwana wa mavuno, apeleke watenda kazi katika mavuno

yake

(

Mathayo

9:37-38)

Slide11

Nimewaandikia

ninyi mambo hayo,

ili

mjue ya kuwa mna

uzima wa milele, ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu” (1 Yohana 5:13)

Slide12

Kisha

nikaona

malaika

mwingine, akiruka

katikati ya mbingu, mwenye Injili ya milele, awahubiri hao wakaao juu

ya

nchi

,

na

kila

taifa

na

kabila

na

lugha

na

jamaa

,

akasema

kwa

sauti

kuu

,

Mcheni

Mungu

,

na

kumtukuza

,

kwa

maana

saa

ya

hukumu

yake

imekuja

.

Msujudieni

yeye

aliyezifanya

mbingu

na

nchi

na

bahari

na

chemchemi

za

maji

(

Ufunuo

14:6-7)

Slide13

Iweni

na

nia iyo

hiyo ndani yenu ambayo ilikuwamo pia ndani ya Kristo Yesu; ambaye yeye mwanzo

alikuwa

yuna

namna

ya

Mungu

,

naye

hakuona

kule

kuwa

sawa

na

Mungu

kuwa

ni

kitu

cha

kushikamana

nacho;

bali

alijifanya

kuwa

hana

utukufu

,

akatwaa

namna

ya

mtumwa

,

akawa

ana

mfano

wa

wanadamu

(

Wafilipi

2:5–7)