/
KUJENGA MTAZAMO UNAOONGOA KUJENGA MTAZAMO UNAOONGOA

KUJENGA MTAZAMO UNAOONGOA - PowerPoint Presentation

donetrand
donetrand . @donetrand
Follow
355 views
Uploaded On 2020-09-29

KUJENGA MTAZAMO UNAOONGOA - PPT Presentation

Somo la 9 kwa ajili ya Agast 29 Kutafuta mioyo iliyotayari kupokea Kuongea maneno ya pongezi Kuhimiza mtazamo chanya Kuwapokea watu Kufundisha kwa ID: 812615

upendo kwa mtazamo yesu kwa upendo yesu mtazamo katika watu mioyo mungu lakini kama wema wenye roho wake sababu

Share:

Link:

Embed:

Download Presentation from below link

Download The PPT/PDF document "KUJENGA MTAZAMO UNAOONGOA" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.


Presentation Transcript

Slide1

KUJENGA MTAZAMO UNAOONGOA

Somo

la 9

kwa

ajili

ya

Agast

29

Slide2

Kutafuta mioyo iliyotayari kupokea

Kuongea

maneno ya pongeziKuhimiza mtazamo chanyaKuwapokea watuKufundisha kwa pendo

Yesu alimweshimu kila mmoja Aliyekutana nayena kuwajali kwa heshima. Alikuwa mwenye ushawishi kwao, kwa namna alivyowasogeza karibu na Ufalme wa Mungu.Tunaweza kujifunza namna ya kuwajali watu kama Yesu kwa kufuata mfano wake na mafundisho ya mitume.

Tunawezaje kujenga mtazamo unaoongoa tunapoihubiri Injili?

Slide3

KUTAFUTA MIOYO ILIYOTAYARI KUPOKEA

Naye alikuwa hana budi kupita

katikati ya Samaria.” (Yohana 4:4)Kwa kawaida Wayahudi walikuwa wakipita njia nyingine walipokuwa wakitoka Yerusalemu kwenda Galilaya ili tu wasipite katikati ya Samaria. Badaye kwanini Yesu alihitaji kupita katikati ya eneo hilo?

Wasamalia

walikuwa wakifuata ibada

ya kweli na ya uongo. Hii

ndiyo maana hawakushirikishwa katika ujenzi wa

Hekalu pamoja na Waisraeli (Ezra 4:1-4).

Wanafunzi

hawakuona

maana

yoyote

ya

kuhubiri katika eneo hilo adui. Hata hivyo, Roho Mtakatifu alikuwa akifanya kazi katika mioyo ya Wasamaria ili kuwafanya waupokee ujumbe.

Kwahiyo, Yesu alihitaji kuupandikiza ukweli hapa. Kupanda huko kulileta matunda yake ya mwanzo mapema, na mavuno mengi badaye (Yohana 4:39-41; Acts 8:5-25).

Slide4

KUONGEA MANENO YA PONGEZI

Ametenda alivyoweza; ametangulia kuupaka mwili wangu marhamu kwa

ajili ya maziko.” (Marko 14:8)Kwa namna iliyo tofauti, maneno ya pongezi yatawaimarisha watu na kuwafanya wakuze imani zao.

Katika

Mathayo 15:21-28, mwanamke Mkananayo alimwijia

Yesu akiwa na ombi, na hakuwa tayari

kupokea jibu la “hapana”. Yesu alimpongeza mbele

ya wanafunzi Wake; Akamwambia, “imani yako ni

kubwa

!”

Yesu

pia

alimpongeza

Mariamu

baada ya kukosolewa kikali kwa sababu ya kitendo chake kwa Yesu: “Ametangulia kuupaka mwili wangu marhamu kwa ajili ya maziko.” (Marko 14:8)Mtazamo

wa kikatili na uliohasi utawaongoza watu mbali nasi. Hawatahitaji kusikia ushuhuda wetu.

Slide5

Ndugu

imetupasa

kumshukuru

Mungu

siku

zote

kwa

ajili

yenu

,

kama

iliivyo

wajibu

kwa

kuwa

imani

yenu

inazidi

sana,

na

upendo

wa

kila

mtu kwenu kwa mwenzake umekuwa mwingi.” (2 Wathethalonike 1:3)

KUHIMIZA MTAZAMO

CHANYA

Paulo

aliandika

barua

zake

kuyatia

moyo

na

kuyaimarisha

makanisa

mahalia

.

Wakati

mwingine

kuwakaripia

kwa

sababu

ya

makosa

yao

,

lakini

daima

aliwahimizia

kwanza

mtazamo

chanya

ndani

yao

.

Ni

mhimu

kuhamasisha

tabia

ya

kutafuta

mambo

mema

kwa

watu

.

Kwa

njia

hii

tutatengeneza

minyororo

imara

ya

urafiki

na

tutawaleta

karibu

na

Kristo

.

Slide6

KUWAPOKEA WATU

Kwa hiyo mkaribishane ninyi kwa

ninyi, kama naye alivyotukaribisha , ili Mungu atukuzwe.” (Warumi 15:7)Ni nani anayetujua vizuri zaidi ya Kristo?Anayajua mema na mabaya

yetu. Licha ya hayo, bado Anatupokea, Anatusamehe, na Anatupenda.Hatustahili kupokelewa Naye, lakini Anatupokea katika wema Wake.Je, haitupasi kuwapokea wengine kama Mungu anavyotupokea?

Ni

lazima tumpokee kila mmoja. Si kwa sababu

ya kiasi gani walivyo wema au waovu

, lakini kwa sababu Kristo Alitupokea kwanza (hata

kama

tulikuwa

waovu

).

Mtazamo

wa

kukubalika na wa upendo utafungua mioyo na kubadilisha maisha ya wale wanaotuzunguka.

Slide7

KUFUNDISHA KWA UPENDO

Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu

awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofui.” (1 Petro

3:15)Kufundisha ukweli pasipo upendo kutaongozakatika mashtaka ya kisheria au katika uvumilivu usio na maana.Kufundisha ukweli kwa upendo huteka mioyo na kuwaongoza watu mahusiano na Yesu yanayookoa.Inatupasa kuwa tayari

kukilinda kile tunachoamini kwacho. Hata hivyo,

daima inatubidi kufanya hivyo kwa unyenyekevu,

heshima , na upendo.Waonyeshe wengine

upendo ule ule Kristo aliotuonyesha sisi.

Mwombe

Roho

Mtakatifu

atuongoze

kwa

watu wenye mioyo ya upokeaji. Hatimaye himiza mambo mema tuyaonayo ndani yao, wakubali pasipo kuwapinga, na uwafundishe kwa upendo.

Slide8

“Wakati tulipokuwa bado

hatujapendwa

na bila uzuri wowote katika tabia, ‘wenye chuki

, na tukichukiana sisi kwa sisi,’ Babab yetu wa mbinguni bado anaturehemu […] Upendo wake uliopokelewa, utatufanya, kufanana kitabia, wema na

wenye huruma, siyo tu kwa wale wanaotuomba, lakini zaidi kwa wale wenye hatia na wakosefu na wenye dhambi […]

Hata wadhambi ambao

mioyo yao haijaunganishwa

zaidi kwa Roho

wa Mungu,

itaitikia

kwa

wema

;

wakati

wanatoa

chuki kwa chuki, watatoa pia upendo kwa upendo. Lakini ni Roho

wa Mungu pekee ndiye anayetoa upendo palipo na chuki. Kuwa mwema

kwa

asiye

na

shukurani

na

mwovu

,

kutenda

wema

bila kutarajia chochote, ni heshima ya kifalme ya mbinguni, ishara thabiti ambayo wana wa Aliye Juu hufunua mali zao juu.”E.G.W. (Thoughts From the Mount of Blessing, cp. 3, p. 75)

Related Contents


Next Show more