/
UTHIBITISHO UNAOSHAWISHI ZAIDI UTHIBITISHO UNAOSHAWISHI ZAIDI

UTHIBITISHO UNAOSHAWISHI ZAIDI - PowerPoint Presentation

enteringmalboro
enteringmalboro . @enteringmalboro
Follow
345 views
Uploaded On 2020-08-27

UTHIBITISHO UNAOSHAWISHI ZAIDI - PPT Presentation

Somo la 9 kwa ajili ya Desemba 1 2018 Na neno hilo yeye hakulisema kwa nafsi yake bali kwa kuwa alikuwa Kuhani Mkuu mwaka ule ID: 804882

katika kwa umoja mungu kwa katika mungu umoja kuwa yeye yesu kuunganishwa hayo siku waefeso maisha ajili wote kristo

Share:

Link:

Embed:

Download Presentation from below link

Download The PPT/PDF document "UTHIBITISHO UNAOSHAWISHI ZAIDI" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.


Presentation Transcript

Slide1

UTHIBITISHO UNAOSHAWISHI ZAIDI

Somo la

9

kwa ajili ya Desemba 1

, 2018

Slide2

Na neno

hilo yeye hakulisema kwa nafsi yake; bali kwa kuwa alikuwa Kuhani Mkuu mwaka ule, alitabiri ya kwamba Yesu atakufa kwa ajili ya taifa hilo. Wala si kwa ajili ya taifa hilo tu; lakini pamoja na hayo awakusanye watoto wa Mungu waliotawanyika, ili wawe wamoja”(Yohana 11:51-52)

Slide3

KUUNGANA KATIKA KRISTO

KUUNGANA KATIKA UPATANISHO

KUUNGANA KATIKA UTENDAJI

KUUNGANA KATIKA TOFAUTIKUNGANA KATIKA UTUMETunapokubali wokovu alioutoa Yesu msalabani, tunaunganishwa katika yeye ndani ya agano. Tunapatanishwa na Mungu na wanadamu pia. Maisha yetu yanabadilishwa. Waumini tunaungana katika utume mmoja na kuweka kando tofauti zetu.

Slide4

KUUNGANISHWA KATIKA KIRISTO

“Yaani

,

kuleta madaraka ya wakati mkamilifu atavijumlisha vitu vyote katika Kristo, vitu vya mbinguni na vitu vya duniani pia. Naam, katika yeye huyo.” (Waefeso 1:10)Tunaokolewa kwa kifo na ufufuo wa Yesu. Tunaunganishwa katika Kristo tunapokubali wokovu.Lengo la pili la mpango wa wokovu linatimizwa maana tumeunganishwa katika Mwokozi : “awakusanye watoto wa Mungu waliotawanyika.” (Yohana 11:52)Tunapobatizwa, tunakubali hadharani, na muunganiko kati yetu na ndugu na dada wapya unatengenezwa.“Bwana mmoja, Imani moja, Ubatizo mmoja; Mungu mmoja na Baba wa wote, aliye juu ya wote, na kupitia wote, na ndani yenu nyote.” (Waefeso 4:5-6)

Slide5

KUUNGANISHWA KATIKA UPATANISHO

Lakini

vyote pia vyatokana na Mungu, aliyetupatanisha sisi na nafsi yake kwa Kristo, naye alitupa huduma ya upatanisho.” (2 Wakorintho 5:18)Kifo cha Yesu kiliangusha ukuta uliotenganisha Wayahudi na Wamataifa. Walipatanishwa na kuwa jamii moja (Waefeso 2:13-16).Mungu anataka kuwaunganishwa watoto wake wote. Huduma ya upatanisho huhusisha sura tatu:Kwa kadri kanisa linavyopalilia umoja na upatanishi, ulimwengu unaona namna ya kutenda kazi ya Hekima ya Mungu ya milele (Waefeso 3:8-11).

Slide6

KUUNGANISHWA KATIKA UTENDAJI

“Yeye

asemaye

ya kuwa anakaa ndani yake, imempasa kuenenda mwenyewe vile vile kama yeye alivyoenenda.” (1 Yohana 2:6)Kumkubali Yesu sio tu ukubali wa akili. Tendo hili hubadilisha maisha yetu katika namna ya matendo.Hisia zetu na tabia vinabadilika, na umoja unaimarika.Maisha yaliyobadilishwa na nguvu ya Roho Mtakatifu ni ushuhuda ukiona nguvu zaidi kwa ulimwengu(1 Petro 2:11-12).Biblia huelezea jinsi maisha yanavyobadilisha. Kwa mfano

,

tazama

Waefeso

4:25-5:2, Colossians 3:1-17,

Mathayo

7:12,

Wagalatia

6:2, 1

Petro

3:3-4, 1

Wakorintho

10:31…

Slide7

KUUNGANISHWA KATIKA UTENDAJI

Kwa mujibu wa mafungu yaliyopita, Je; Ni mambo gani imewapasa wakristo

kuacha?

Slide8

KUUNGANISHWA KATIKA UTENDAJI

Kwa

mujibu

wa mafungu yaliyopita, Ni mambogani wakristo wanapaswa kuyafanya?

Slide9

KUNGANISHWA KATIKA TOFAUTI

Yeye

aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.” (Warumi 14:6)Katika Warumi 14-15, Paulo anashughulikia maswala yaliyokuwa yakisababisha mgawanyiko katika kanisa mahalia huko Rumi.Hayo yalikuwa ni maswala ya kitabia, desturi na matatizo ya nafsi. Kwa mfano, kuazimisha sikukuu, siku za kufunga, kutokula nyama zilizotolewa kafara kwa sanamu…Paulo alizishauri pande zote kuwa wavumilivu, kwa sababu hayo hayakuwa maswala yahusuyo wokovu.Huo ni ushauri wenye hekima.

Unaweza

kutusaidia

kuhifadhi

umoja

kanisani

leo

.

Slide10

KUUNGANISHWA KATIKA UTUME

Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja

.” (Matendo 2:1)Siku kadhaa kabla ya pentekoste, wanafunzi walikuwa wanajaribu kuwa wakuu kuliko wengine(Luka 22:24).Ilikutimiza utume wao (Matendo 1:8), iliwapasa kuyakataa mawazo hayo na kutafuta umoja. Je; Walifnyaje?Walimwendea Mungu katika maombi na kusameheana. Wakaacha kurushiana lawama kwa makosa yao. Hakuna aliyemtuhumu Petro kwa kumkana Yesu, Yakobo na Yohana kwa kuwa wabinafsi, au Tomaso kwa kuwa na mashaka.Tuwezaje kujifunza kuweka kando makosa ya wengine, Yote hayo kwa ajili ya kukamilisha kazi ya utume?

Slide11

“Ombi la K

risto linapoaminiwa kikamilifu, maagizo

yake

yanapowekwa katika maisha ya kila siku ya watu wa Mungu, umoja wa matendo utoonekana katika ngazi zetu. Ndugu ataunganishwa kwa ndugu kwa kiungo cha dhahabu cha upendo wa Kristo. Roho wa Mungu pekee anaweza kuleta huu umoja. Yeye aliyejitakasa mwenyewe anaweza kuwatakasa wanafunzi wake. Wakiunganishwa pamoja naye, wataunganishwa wao kwa wao katika Imani takatifu sana. Tunapopambana kwa ajili ya huu umoja sawasawa na mapenzi ya Mungu anavyotaka tuipambanie, itatujia.”E.G.W. (Counsels for the Church, cp. 4, p. 45)