COOPERATIVE SOCIETY LIMITED REGISTRATION DSR 118 POBOX 3948 DAR ES SALAAM TANZANIA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI KWA WANACHAMA WA TAWI DAR ES SALAAM UKUMBI WA KARIMJEE TAREHE 14OKTOBA2012 NA ID: 815320
Download The PPT/PDF document "POSTA NA SIMU SAVINGS AND CREDIT" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.
Slide1
POSTA NA SIMU SAVINGS AND CREDITCOOPERATIVE SOCIETY LIMITED
REGISTRATION DSR 118 P.O.BOX 3948 DAR ES SALAAM
TANZANIA
Slide2MAFUNZO YA UJASIRIAMALIKWA WANACHAMA WA TAWIDAR ES SALAAM
UKUMBI WA KARIMJEE
TAREHE 14.OKTOBA.2012
Slide3NAD.F.NGALAWAManager - Posta na Simu Saccos Ltd.MEED(udsm),PGDEED(udsm),PGDBA
DIRECTOR White angels Primary schoolBright Angels High SchoolLupingu Teachers college Proposed Ludewa Health college
Slide4Agenda
Utambulisho
Utangulizi
Madhumuni ya somo
Yaliyomo
Namna ya mafunzo
Majadiliano na kazi katika vikundi
Slide5kujitambulishaViongozi wa Chama SecretariatWashiriki Wataje pia Biashara walizonazo au Wazo la biashara
Slide6UtanguliziBaada ya mada, washiriki watakuwa: -Wameelewa maana ya ujasiriamaliWana tabia za kijisiriamaliWanamabadiliko JasiriWapo tayari kuanzisha au kuboresha biashara Tayari kufanya mabadiliko ili kuendesha chama kisayansiTayari kushuhudia mabadiliko kt chama
Slide7Madhumuni ya MadaKutoa elimu ya ujasiriamali na kuwahamasisha washiriki kuanzisha au kuendeleza biashara zaoKuhamasisha na kuwashirikisha wanachama mabadiliko ya kimtazamo na fikraKuzitambua tabia za kijasiria maliKuhusianisha ujasiriamali na maendeleo ya chama Kutambua changamoto za chama na za wanachama za kijasiriamali
Slide8Yaliyomo ndani ya madaMaana ya ujasiriamali, tabia za kijasiria mali, namna ya kuanzisha, kuendeleza na kurithisha biasharaMahitaji ya mabadiliko ya fikra, dira na mtazamo wa wanachama na mipango Namna ya kuwa mwanamabadiliko mzuri na majukumu ya mwanamabadilikoNamna ya kukiendeleza chama kwa kuanza na maendeleo ya mwanachama
Slide9Jinsi Mada Itakavyoende….Washiriki watashirikishwa kwa kuchangia madaMajadiliano yatafanyika mara kwa maraVikundi vitapewa kazi ya kufanyaUzoefu na mifano mbalimbali itatolewaKushiriki mafunzo ya ujasiria mali wakati wa mada na baada ya madaKuchagua na kuamua biashara au mradi wa kufanya baada ya mafunzo
Slide10Maana ya UjasiriamaliUjasiriamali maana yake ni; - Kitendo cha kuanzisha, kuendesha, kufanya biashara ndogo, kwa kujitegemea, Pia, kuimiliki na mwenye biashara kuwa ni mmiliki na mtendaji au meneja wa biashara yako.Kuanzisha na kufanya bisahara kijasiriamali, Kuzingatia tabia za kijasiriamali, siyo kufanya biashara kiholela au bila utaratibu
Slide11Tabia za kijasiriamaliKuipenda na kuifurahia biasharaKuwa na malengo ya kukuza biasharaKuwa na malengo ya muda mfupi na muda mrefuKuwa na mikakati mizuriKuwa mbunifu na kujitegemeaKuwa na ari na jasiri wa kuthubutuKuwa na mtandao wa watu wengi Kufanya kazi kwa bidii
Slide12KAZI ZA VIKUNDI DK 10Kila kikundi kiainishe: -Maeneo kumi ambayo pesa za mshahara huwa zinatumika. Anza na eneo linalotumia pesa nyingiMatatizo (problems) kumi ambayo kikundi kama jamii kinakabiliana nayo katika maisha ya kila siku sehemu wanakoishi: - TEMEKE. ILALA KINONDONI
Slide13Maeneo kumi yanayafanana Chakula………...………..……….……….……….………………
Slide141 MSHAHARAChakulaAdaNauliMawasilianoMavaziMatibabuUmeme MajiPango
StareheMaendeleo
Slide151 MATATIZOMajiUsafiriMagonjwaMakaziMajangaUchafuNjaaElimuMiundo
mbinuNishati
Slide162 MSHAHARAChakulaPangoUsafiriAda/ ElimuMavaziMisaada kwa
jamii Misiba, SadakaSimuMaji/ UmemeStareheMatibabu
Slide172 MATATIZOMajiMiundo mbinuKumbi/ StareheHuduma Hospitali, soko
PolisiUsalama wa mali na raia wiziUsafiri
Mfumuko
wa
bei
Ajira
Makazi
bora
Uchafu
wa
mazingira
Slide183 MSHAHARAChakulaUsafiriMatibabuPangoAdaMavaziYayaSadaka
StareheMisaada kwa ndugu
Slide193 MATATIZOMajiUsafiriUmemeUchafuUlinziHospitaliBarabaraNdugu
Mapumzi
Slide204 MSHAHARAChakulaMatibabuAdaMajiUmemeUsafiriMawasilianoPango
Kijamii Harusi Mavazi Uremmbo
Slide214 MATATIZOMajiUmemeUsafiriUsalamaMfumuko wa beiMiundombinuUchafu
MagonjwaAjiraHuduma za Afya
Slide22MifanoRizika na MajaliwaKwenda benki: kwani mnakopesha bei gani?Taasisi zinazokopesha 10%, 20%, 30% kwa mweziTaasisi zinazokopesha 30% 35% 48% kwa mwakaWakopaji wanategemea au wanajiaminia nini???? Sisi je?
Slide23Uwiano na biashara ndogo Tunategemea wale wenye nia ya kuanzisha biashara wawe na tabia hizo zaidi kuliko watu wengineLakini kuanzisha biashara yako na kuiendesha mwenyewe kunaweza kukufanya uwe na tabia ya kijasiriamaliMipango mizuri ya biashara itakulazimisha kufikiri na kuifanya biashara kijasiriamali. Kuweka malengo na kupanga mikakati ya kutimiza malengo yako. Kuthubutu kimahesabu, kuwa mbunifu nk
Slide24MabadilikoMabadiliko hayaepukiki katika maisha na kuna njia mbili za namna ya kuyakabili: -
Mabadiliko yakubadilishe wewe AUKupanga namna ya kuleta mabadiliko kwa namna utakavyo
Slide25Agenda
Tunaweza kuleta mabadiliko gani?
Tubadilike kwanza wenyewe na tuwe na mtazamo au mwelekeo wa maendeleo. Tunalenga nini daima
Tukitazame chama chetu. Kinakwenda wapi??
Tukianzisha biashara vizuri, tutakuza biashara zetu na tutakopa zaidi mwisho saccos yetu itakuwa zaidi. BENKI
Slide26Mabadiliko ya kiutendajiUtendaji wa chama unapo badilikaSasa
Mpito
Dira
Hali inayojulikana
Maumivu Mabadiliko
Hakieleweki
Wegine hawapendi
26
Slide27Mabadiliko kiutendaji
Maana
Kama Neno
:
kuwa tofauti, Vingine
Tofauti na hali ya mwanzo
Kubadiliha na kingine
Tofauti
Kama Kitendo
:
Kubadilishwa au kufanywa tofauti
Kubadilisha
Msisitizo ni kukifanya kitu kiwe kingene
Haya yanaweza kuwa ni mabadiliko makubwa
27
Slide28Dinosaurs Walikufa! Wanyama walibaki!
Badala yake walikumbatia mabadiliko na wakapona28
Slide29Thank You!
Slide30CONTACTS+255-658853100+255-762241124+255-784853100E-Mail:ngalawadeogratias@gmail.com