Somo la 3 kwa Aprili 20 2019 Haki itakwenda mbele zake Nayo itazifanya hatua zake kuwa njia Zaburi 8513 Kujindaa kwa Mabadiliko ID: 830261
Download The PPT/PDF document "KUJIANDAA KWA AJILI YA MABADILIKO" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.
Slide1
KUJIANDAAKWA AJILI YA MABADILIKO
Somo la 3
kwa
Aprili
, 20 2019
Slide2“Haki itakwenda
mbele
zake
,
Nayo
itazifanya
hatua
zake
kuwa
njia
”
(
Zaburi
85:13)
Slide3Kujindaa kwa MabadilikoKujiandaa kwa ndoa
Kujiandaa
kwa MaleziKujiandaa kwa UzeeKujiandaa kwa kifo
Maisha yetu mara nyingi yanaongozwa na mizunguko ya kawaida. Hata hivyo mara nyingine mabadiliko hurekebisha kawaida hizo. Mbabadiliko hayo yanaweza kuwa ama yasiotegemewa au yanayotarajiwa Hebu tujifunze katika Biblia ni jinsi gani inatusaidia kujiandaa kwa mabadiliko, na hasa yale yanayotarajiwa
Slide4KUJIANDAA KWA AJILI YA MABADILIKO“Basi mambo hayo yaliwapata wao
kwa
jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na miisho ya zamani.” (1
Wakorintho 10:11)Tunaweza kujiandaa vizuri kukabiliana na mabadiliko yoyote? Ndiyo, tunaweza kujiandaa—ingawa tunaweza kushindwa wakati tuunapokabiliana na mabadiliko maalum, kwa sababu si wakamilifu.Muhimu ni kujifunza kuwa na mahusiano na Mungu kila siku. Kwa njia hiyo, tunaweza kukabiliana na mabadiliko kwa imani na ujasiri. Tutakuwa tayari kumtii Mungu bila kujali hali au majaribu yatakayotuijia.Paulo alikumbuka historia ya Israeli jangwani. Waliwezaje kukabililiana na ukosefu wa maji ya kunywa, kutokuwepo kwa Musa, au ukaribisho wa mwanamke Mmoabu? (1 Wakorintho 10:1-13).
Slide5KUJIANDAA KWA ajili ya MABADILIKO“Basi
mambo
hayo
yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiliwa na
miisho ya zamani.” (1 Wakorintho 10:11)Kuna mifano ya watu katika Biblia ambao walikabiliana ama kwa chanya au hasi kwa mabadilko yasiyotegemewa:
Slide6KUJIANDAA KWA AJILI YA NDOA“Apataye mke
apata
kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.” (Mithali 18:22)Watu wengi
wanaoana-ingawa si kila mmoja huoa/kuolewa. Biblia inashughulikia mada hii tangu mwanzo wa kurasa zake za (Mwanzo 2:24).Ndoa inamleta mwanaume na mwanamke pamoja kuwa taasisi moja. Mahusiano hayo ni imara kuliko yale na wazazi wetu au na mtu mwingine yeyote yule., lakini haiwafuti.Hatua ya kwanza ya maandalizi ya ndoa ni kuwa mtu bora. Hatua ya pili ni kutafuta mwenzi bora.
Slide7KUJIANDAA KWA NDOA
“
Apataye
mke apata kitu chema; Naye ajipatia kibali kwa BWANA.” (Mithali 18:22)Soma
mafungu yafuatayo na jiulize mwenyewe maswali yanayofuata juu ya mwenzi wako wa baadae. Je, wewe mwenyewe utashinda pia mtihani huu kama mwenzi wa baadae?
Slide8“Hebu msichana amkubali kama mwenza wa maisha kama tu kijana
ambaye
ana tabia safi, sifa za Kiungu, yule ambaye ni mtiifu, bidii, mwaminifu, anayempenda na kumcha Mungu. Hebu
mvulana atafute msichana yule ambaye anaweza kusimama pembeni mwake ambaye anafaa kubeba sehemu ya mizigo ya maisha yake, ambaye ushawishi wake utavutia na kumbadilisha, na ambaye atamfurahisha katika pendo lake.E.G.W. (Messages to Young People, cp. 148, p. 435)
Slide9KUJIANDAA KULEA“Mlee mtoto wako katika njia
impasayo
, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee.” (Mithali 22:6)Kuzaliwa kwa mtoto ni mabadiliko makubwa kwa wazazi. Furaha, majukumu, kuchanganyikiwa …
Bila kujali ni watoto wangapi, kila mmoja ni maalum na kipekee, zawadi toka kwa Mungu, Uwe unaamini au la (Zaburi 127:4).Kulingana na Biblia, tunawezaje kujiandaa na malezi?1 Samueli 1:27. Muda wote muombee, hata kabla ya kujifunguaWaamuzi 13:7. Jihadhahari na chakula chako na afya yako wakati wa ujauzito, na usiiache baada ya kujifunguaLuka 1:6. Jitenge mbali na dhambi.Luka 1:41. Omba uongozi wa Roho Mtakatifu-.Luka 1:46-47. Mshukuru Mungu kwa karama ya maisha mapya.Luka 1:76. Lengo lako kuu liwe kumlea mtoto wako katika njiaambayo atakuwa mwana au binti halisi wa Mungu.
Slide10“Juu ya baba na mama yamewekwa majukumu ya kumfundisha mtoto katika maisha
yake
ya utotoni na ya baadae, na wazazi wote kuwa na maandalizi makini na kamilifu ya mahitaji
ni muhimu sana. Kabla ya kufanya uamuzi wa ubaba na umama, wanaume na wanawake wanapaswa kuwa na ufahamu wa kanuni za ustawi wa kimwili- kisiolojia na kiafya, jinsi ya kuchukuliana na hali ya ujauzito, kanuni za urithi, usafi wa mazingira, mavazi, mazoezi, tiba ya maradhi, wanatapaswa pia kuelewa sheria za kukua wa akili na mafundisho ya maadili.”E.G.W. (Child Guidance, cp. 8, p. 63)
Slide11KUJIANDAA KWA AJILI YA UZEEMkumbuke Muumba wako siku za ujana
wako
,
Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.” (
Mhubiri 12:1)Maandalizi kwa uzee yanaanza kwenye ujana.Tabia tulizozipata kwenye ujana na utu uzima zina athari ya jinsi gani tutaishi katika uzee wetuKulingana na Zaburi 71, tunawezaje kujiandaa kwa uzee?Kumjua Mungu binafsi na kwa kina(f. 1-7)Kupata tabia njema:Tumaini kwa Mungu (f. 3)Kumsifu (f. 6)Matumaini (f. 14)Shauku kwa ajili ya utume (f. 15-18)
Slide12“Daudi alibainisha kwamba ingawa maisha ya watu fulani wakiwa katika
nguvu
ya utu uzima yalikuwa ya haki, kadri uzee ulipowajia walionekana kupoteza uwezo wa kujizuia. Shetani aliingia na
kuongoza mawazo yao, na kuwafanya kuwa na wasiwasi na wasioridhika. Aliona kuwa wengi wa wazee walionekana kama kuachwa na Mungu na wakajifunua wenyewe kwa vituko na matusi kwa adui zake. Daudi alitafakari sana; aliona shida alivyoangalia mbele wakati ambapo angepaswa kuwa mzee. Aliogopa kwamba Mungu atamwacha na kwamba angekuwa asiye na furaha kama wazee wengine wenye umri ambao aliwaona katika mapito yao, na angeachwa na kuwa aibu ya
maadui wa Bwana. Kwa
mzigo huu ukiwa
juu yake yeye
anaomba kwa bidii
: "Usinitupe wakati wa
uzee
;
Nguvu
zangu
zipungukapo
usiniache
.
Ee
Mungu
,
umenifundisha
tokea
ujana
wangu
;
Nimekuweka
nikitangaza
miujiza
yako
hata
leo
. Na
hata
nikiwa
ni
mzee
mwenye
mvi,
Ee
Mungu
,
usiniache
.
Hata niwaeleze watu wa kizazi hiki nguvu zako, Na kila atakayekuja uweza wako." Zaburi 71: 9, 17, 18. Daudi alihisi umuhimu wa kujilinda dhidi ya maovu ambayo hutokea wakat wa uzee.”
E.G.W. (Testimonies for the Church, vol. 1, cp. 77, p. 423)
Slide13KUJIANDAA KWA AJILI YA KIFO“Kwa sababu walio hai
wanajua
ya kwamba watakufa.” (Mhubiri 9:5)Hakuna mtu yeyote anayeweza kujiandaa kwa kifo cha ghafla (ama chake
mwenyewe au cha mpendwa wake). Ni vigumu kukikubali kifo, hata kama tunakitarajia.Hata hivyo, tunaweza kukisubiri bila woga ikiwa kama itakuwa tumefunikwa na haki ya Kristo kila wakati. (Warumi 4:7).Wakati Daubi alipokaribia kifo, alihakikisha kuwa anaacha urithi bora: alimshauri mtoto wake kufuata njia ya Mungu (1 Wafalme 2:1-3).Tukumbuke kuwa Yesu tayari amekishinda kifo (1 Wakorintho 15:54-55).Kifo hakiepukiki kwa kila mwanadamu, hadi kurudi kwa Yesu mara ya pili (Mwanzo 3:19).
Slide14“Hauna muda wa kupoteza kwa kudharau wokovu mkuu ambao umetolewa
kwako
.
Wakati wa upelelezi wa mioyo unafikia mwisho. Siku hadi siku, hatima ya watu inafungwa, hata kwenye
kusanyiko hili hatujui ni wangapi macho yao yatafungwa na kifo na kuingia kaburini. Lazima sasa tuzingatie kwamba maisha yetu yanapita haraka; kwamba hatupo salama hata kwa muda mfupi hadi hapo maisha yetu yatapokuwa yamefichwa kwa Mungu na Kristo.E.G.W. (Selected Messages, vol. 1, cp. 23, p. 189)