UTANGULIZI Programu ya uenezi wa mtambo wa biogesi ngazi ya kaya Tanzaniatdbp ina majukumu ya kueneza mitambo ya bioges kwa njia ya kufundisha mafundi uashi na watumiaji na kuhamasisha uanzishwaji wa sekta binafsi ya makampuni ya ujenzi wa mitambo ya biogesiikishirikiana na wadau mbalimbali ID: 804062
Download The PPT/PDF document "MRADI WA USAMBAZAJI WA TEKNOLOJIA YA BI..." is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.
Slide1
MRADI WA USAMBAZAJI WA TEKNOLOJIA YA BIOGESI KWA MATUMIZI YA NYUMBANI TANZANIA(TDBP)
Slide2UTANGULIZI
Programu ya uenezi wa mtambo wa biogesi ngazi ya kaya Tanzania(tdbp) ina majukumu ya kueneza mitambo ya bioges kwa njia ya kufundisha mafundi uashi na watumiaji na kuhamasisha uanzishwaji wa sekta binafsi ya makampuni ya ujenzi wa mitambo ya biogesi,ikishirikiana na wadau mbalimbali ili kusisimua sekta binafsi kujihusisha na tecnolojia hii nchini.
Slide3Biogesi
ni
nini
?
Ni
nishati
itokanayo
na
kinyesi
cha
wanyama
ambacho
huchachuka
ndani
ya
mitambo
wa
bioges
na
kuweza
kutumika
kwa
ajili
ya
kupikia
na
kuwashia
taa
(
japo
kuna
tafiti
zinazoendelea
kwa
ajili
ya
kuzalisha
nishati
mbadala
ya
kuzalisha
umeme
).Ni
gesi
inayotokana
na
uchakachuaji
wa
vinyesi
vya
wanyama
na
masalia
ya
shambani
na
jikoni
katika
mazingira
yasiyo
na
hewa
ya
oksijeni
(ANAEROBIC DIGESTION).
Slide4HAKUNA HEWA YA OKSIJENI
Slide5Biogesi inamfaa mtu
yeyote
mwenye uwwezo
wa
kufuga
ng’ombe
kuanzia
idadi ya wawili na kuendelea.Kiasi cha gesi ipatikanayo kinategemea idadi ya mifugo iliyopo.
Biogas ina nifaa?
Slide6Biogesi ni
gesi
salama
kwa
sababu
hailipuki kama aina nyingine za gesi zinazowekwa
kwenye mitungi
na
kukandamizwa.Biogesi kwa ujumla haina madhara kiafya na kimazingira
Maelezo
kuhusu
biogas
yanaendelea
……
Slide7Biogesi ina matumizi
mbalimbali
kupikia
kwa
kutumia
majiko
maalum
na kutoa mwanga kwa kutumia taa maalum za biogesi ama taa za
umeme kwa kutumia bioslurry
/tope
chujio),kuendeshea pampu za maji kwa kutumia injini maalum.Pia bioges inaweza kuendesha jokovu kwa kutumia
injini
maalum
Slide8Vitu
vinne
vikuu
katika
kufikia
malengo ya kumiliki biogas
MIFUGOKIPATOMAJINIA
Slide9Mtambo wa biogesi
hujengwa
na vifaa
vitumikavyo
kwenye
ujenzi
wa
nyumba.gharama za ujenzi hutegemea na bei ya vifaa vya ujenzi na hutofautiana kati ya sehemu
moja na sehemu nyingine.Gharama
ya awali inaweza kuonekana kwa juu lakini baada ya miaka miwili hadi mitatu,gharama hii huwa imeisharejeshwa kwa kutumia
biogesi
badala
ya nishati nyingine kama kuni ,umeme,mkaa au mafuta ya taa
Je
nitaweza
Gharama
za
ujenzi
wa
mtambo
?
Slide10Baadhi
ya
Vifaa
vinavyotumika
kujengea
mtambo…..
Slide11Mradi huu uliunda kampuni
ambazo
zilizalisha
mafundi
uashi waliopata
mafunzo
chini
ya taasisi ya CAMATEC.Ambapo kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali katika kutekeleza mradi huu
unasimamia kampuni hizi.FIDE kama mshirika
mkuu
unasimamia kampuni 13 toka utaratibu wa makampuni kupendekezwa-nayo niKISIKI,D&B,KIRORE,KBC,RAM,CHANGAMKENI,KGB G.SULLE,MBIIC,NAGEMA,BAMAS,SIMA,ORON
Je
nikijiandaa
nitajengewa
na nani?
Slide12Mtambo uliojengwa kwa
ustadi
hauhitaji matengenezo
ya
mara
kwa
mara
hasa kama masharti ya kuhudumia mtambo yakifuatwa.Endapo mtambo unakuwa na hitilafu,mteja ni rahisi kuwasiliana
na fundi pamoja na ofisi
husika kwa ajili ya matengenezo ya mtambo. Matengenezo huhitajika tu kwenye sehemu fulani fulani za vifaa vitakavyotumika kama
majiko
,
taa
ambapo sehemu hizo huchakaa na kubadilishwa.
Je,Mtambo
ukiwa
na
hitilafu
?
Slide13Watu wote
wenye
mifugo
kama
ng
’
ombe,kuku,nguruwe nk. Wanaweza kuwa wateja wazuri wa
biogesi .Ni vizuri
kupata
faida za ziada kutokana na mifugo mtu aliyo
nayo
kama
hiyo nishati ya biogesi ,
mbolea bora
zaidi
na
mazingira
yaliyoboreshwa
zaidi
Je,mimi
mfugaji
ninanufaika
?
Slide14Biogesi ni nishati
ya
gharama
nafuu
kwa matumizi
yake
.
Biogesi haina moshi wa harufu inapotumiwa Matumizi ya biogesi huwapunguzia akina mama adha ya kutafuta
kuni, na kupata muda kwa
shughuli
nyingine za uzalishaji mali nje na ndani ya kaya zaoMatumizi ya mbolea inayotoka kwenye mtambo huongeza
uzalishaji
wa
mazao zaidi kulinganisha na matumizi ya mbolea ya viwandani
Fursa za ajira ,hasa
kwa
vijana
waliofundishwa
taaluma
ya
ujenzi wa mitambo na vile vile
matumizi
ya tope chujio(bio-slurry) na mboji kwa ajili ya mazao
Biogas
ina
faida
yeyote
?
Slide15SEHEMU YA PILI
Historia
fupi
yateknolojia
ya
BIOGAS
Tanzania.
Slide16Tenknolojia
ya
biogas
imekuwa kwa
muda
mrefu.Na iliingia
nchini
katika miaka ya 1970 ,Teknolojia hii imetokea katika nchi za mashariki ya kati hasa India na
hatimaye kutua Nchini kupitia shirika la SIDO.
Kwa
wakati huo Nchi Nyingi za mashariki ya kati hasa India walikuwa wanatimia Muundo wa pipa linaloelea yaani
(FLOATING DRUM)
na
huo
ndio muundo tulioanza nao Nchini..
Slide17Inaendelea
……….
Uliingiwa
na
changamoto
katika
kutekeleza muundo huu kutokana na mapipa kupata kutu na hatimaye kutoboka,hivyo
ikawa changamoto katika marekebisho hivyo
kuongeza gharama kwa mtumiaji.Baadaye Taasisi ya Camatec ikabuni aina mpya ambayo ilikuwa suluhisho
ya
awali.ikijulikana
“Chinese Fixed Dome”-
Mwaka 1983.
Slide18Inaendelea
…….
Miaka
michache
baadaye
maboresho
yalifanyika tenakatika harakati
za kupunguza
gharama
za ujenzi wa mitambona kuzalisha aina
mpya
inaoitwa
“ MODIFIED CAMARTEC DOME - MCD”. Aina hii
ya
mtambo
ambayo
ndiyo
tunayoineza
kwa
sasa
inaweza
kupatikana kwa
ujazo
wa
kiwango
cha 4m
3
, 6m
3
, 9m
3
na
13m
3
na
rahisi
kujenga
.
Slide19Inaendelea
……….
Kwa
kushirikiana
na
Tasisi
ya SNV mwaka 2011 Watafiti walibuni
aina ya
mtambo
unaostawi maeneo ya wafugaji yaliyokithiri kwa ukame.
Mtambo
huu
unaitwa “SSD”-Solid State Digester.Na nimaarufu
sana hasa
kwa
maeneo
mengi
ya
milima
ya
upare hasa Same
na
Mwanga.Ambayo
yanaonekana
ni
makame
na
kuwa
na
maji
hafifu
kuhudumia
mtambo
.
Slide20Inaendelea
……..
Mitambo
hii
imeleta
sifa
kubwa ndani na nje ya Tanzania na kuwapa watu fursa ya kuja kujifunza namna
ya kujenga mitambo hii
na
inavyozalisha gesi ya kutosha na hivyo kumrahisishia mtumiaji.
Slide21CHEMBA YA KUINGIZIA MBOLEA
Chemba
ya
majaribio
Chemba
Ya
Kukorogea
Chemba Mtanuko
Mdomo wa kutolea
mbolea
Muonekano
wa
mtambo
wa
biogas
juu
ya
ardhi
…..
Slide22Je,hivi
tumejenga
mitambo
mingapi
???
MWAKA 2009
50
MWAKA 2010
210
MWAKA 2011
300
MWAKA 2012
416
MWAKA 2013
MWAKA 2014
528
204
Slide23SEHEMU YA TATU
TOPE CHUJIO-Bio slurry
Na
Utengenezaji
wa
Mboji
-Compost Making
Slide24Nini
maana
ya
tope
chujio
-Bio slurry
.
Ni masalia yaliyotolewa katika Mtambo(Biogas plant) inayotumika katika kuongeza rutuba katika udongo kwa ajili ya uzalishaji wa mimea.Inatokana na mtengano wa Viumbe hai katika mtambo wa biogesi.
Tope chujio ina sifa yeyote??
Haina harufu na haiwavutii wadudu kama vile inzi nk.
Tope chujio hushambulia mchwa na wadudu wote ambao wanavutiwa na samadi mbichi.
Utumiaji wa tope chujio hupunguza kazi ya kupalilia.Matumizi ya tope chujio ipasavyo kupunguza kazi ya kupalilia kwa asilimia 50%
Tope chujio ni bora katika kuhifadhi rutuba katika udongo,inaongeza virutubisho na kuiongezea ardhi uwezo wa kuhifadhi maji.
Tope chujio inazuia bacteria.Uchakachushwaji wa samadi unaua bacteria zinazosababisha magonjwa kwa mimea.
Slide26UTENGENEZAJI WA MBOJI-COMPOST MAKING.
Mboji ni kitendo cha kuvunja kemikali kutoka katika mimea na wanyama kwa ajili ya kuzalisha humus.
Slide27Kwanini tope chujio kwa utengezaji wa mboji?
Tope
chujio
lina
sifa
ya
;
Virutibisho kwa mmeaKuimarisha udongoUmuhimu wa mboji
katika kilimo.Mkulima anaweza
akarutubisha
ardhi yake kwa kutumia mboji iliyotengenezwa kwa kutumia tope chujio.Inaongeza afya kwa udongo inayohitajika kwa mmea katika
kiwango
mahsusi
.
Slide28Inaendelea…..
Faida
zitokanazo
na
mboji
Gharama
nafuu na rahisi kupatikanaInasaidia kuboresha afya ya ardhi/udongo kwa muda mrefu
Rahisi kueleweka na kuandaaInasaidia
kutopoteza maji haraka kwenye ardhi na kufanya ardhi kuwa na unyevu kwa muda mrefu.Humuongezea kipato mfugaji anapopeleka
sokoni
kwani
ina soko zuri ikitegemewa na uhifadhi bora.
Slide29Wadau katika biogas .
Katika utekelezaji wa biogas tumeweza kushirikiana na;
KKKT dayosesi ya Same-kupitia mfuko wa Sabine
Samekaya saccos.
Mwanga Bank.
World Vision.
Slide30Mbinu za kupata wateja
Mbinu
ambazo
zinatumika
ni
kama
ifuatavyo;Mlango kwa mlangoKutumia watu mashuhuru katika eneo
husikaKutumia mikutano ya
hadhara.Kutumia makanisa,misikiti ambapo ni rahisi katika kupata wateja.
Slide31Inaendelea……
Mgagao
Ugweno
Usangi
Kisangara
Gonja
Bangalala
Same
Ibwe ijewa
Ndenga
RomboMarangu-kyalaMakanyaNadururuMwembe.Tolohakigonigoni
Slide32Maeneo makuu tunayofanya kazi kwa milima ya pare
Vudee
Kirangare
Makasa
Same
Kisiwani
Bombo
Lwami
Jipe
Hedaru
kilomeni.
Slide33Changamoto za mradi.
Kutolewa kwa ruzuku
Uhudumu wa mtambo-kunakuwa na uangalizi mdogo katika ngazi ya kaya katika kuuhudumia mtambo.
Malipo kwa mafundi/kampuni.
Usambazaji wa taarifa sahihi kuhusu mradi
Uelewa mdogo wa wananchi juu ya biogas
Uchumi kwa mwanchi mmoja mmoja.
Slide34Je Tumefanikiwa
?
FIDE
tumefanikiwa
kwa
asilimia
kubwa
katika kueneza teknolojia na kupunguza uharibifu
wa mazingira
kwani
wakazi wengi wanafurahia matumizi ya biogas na bio slurry/tope chujio katika kilimo
na
kukuzia
mimea
Slide35BOQ
VIFAA VINAVYOHITAJIKA KATIKA UJENZI WA MTAMBO WA
SSD(6M3)
1.Kuchimbashimo
……(
Maelewanonamchimbaji
)
2.MatofaliMadogo (23cm/11cm/7cm)
…..1200
3.Kokoto ………………………..………………….. Debe404.Mchanga ……………….…
Debe 130 au nusuLory5.Mawe
…………………………...Meta 3 au Lori
moja6.Saruji ……………………………………….……Mifuko207.Chokaa……………………………………………Mifuko48. Water Proof Cement…………………... Mifuko 49. Wire-Mesh ……………….........…..………..
Kipande
(
Kipandekimojawanatumiawatejawawili
)
10. Chicken wire …………………………………meta25 (
Rolamoja la futisitawanatumiawatejawawili
)
11.Bomba la PVC
………………………….…………
Moja
12.Nondoya mm.10
……………………….……….
Moja
13.Kipande cha
bomba
la
chuma
/IPS
...Metamoja
14. “T”-Joint + Plug
…………………....
Mojamoja
15.
MisumariNch
2
………………....………Kilo
Moja
Slide36VIFAA VINAVYOHITAJIKA KATIKA UJENZI WA MTAMBO WA MCD(6M3)1. Kuchimbashimo… (
Maelewanonamchimbaji
)
2.
MatofaliMadogo
(23cm/11cm/7cm)
….. 1000
3.
Kokoto
………………………..………………. Debe35.
4. Mchanga …………………Debe130 au Lorymoja. 5. Mawe…………………………..Meta 3au Lorimoja.6. Saruji …………………………………..……Mifuko157. Chokaa…………………………………………Mifuko3
8. Water Proof Cement……………………. Mifuko49. Wire-Mesh ……………….............……. Kipande
1.
(Kipandekimojawanatumiawatejawawili)10.Chicken wire …………………………………Meta 35. (Rolamoja la futisitawanatumiawatejawawili)11. Bomba la PVC……………………………………Moja.12. Nondoya mm.10
………………………………
Moja
VIFAA VINAVYOHITAJIKA KATIKA UJENZI WA MTAMBO WA
MCD
(6M
3
)
Slide37Asanteni
Na
Karibu
katikaTeknolojia
Ya
Biogesi
BIOGESI KWA MAISHA BORA
Slide38Imeandaliwa na;
ADRIAN
FOUNDATION CO. Ltd
‘for the quality community initiative’
P.o.Box 131,SAME,Tanzania
adrianmnzava@gmail.com
Adrian.mnzava@yahoo.com
www.adrianfoundation.blogspot.com
+255
692754026
+255 745699561