Somo la 5 kwa ajili ya Novemba 3 2018 Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume na katika ushirika na katika kuumega mkate na ID: 816241
Download The PPT/PDF document "UZOEFU WA UMOJA KATIKA KANISA LA AWALI" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.
Slide1
UZOEFU WA UMOJA KATIKA KANISA LA AWALI
Somo la 5
kwa
ajili
ya
Novemba
3, 2018
Slide2“
Wakawa
wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali”(Matendo 2:42)
FUNGU KIONGOZI
Slide3Kanisa
la
awali
ni kielelezo kikuu cha umoja.Je; Waliufikiaje huo umoja? Tunaweza kuwa na umoja kama huo kanisani leo?MaandaliziKazi ya Roho MtakatifuKuwa na muda pamojaKuwa wakarimuKuwafikiria wengine
Slide4MAANDALIZI
“
Hawa
wote walikuwa wakidumu kwa moyo mmoja katika kusali, pamoja nao wanawake, na Mariamu mama yake Yesu, na ndugu zake.” (Matendo 1:14)Kabla ya kupaa Mbinguni, Yesu aliahidi angekuja Msaidizi. Angefanya kazi maaluma ndani ya wafuasi wa Yesu :Walijiandaa kwa siku 10 ili kupokea kipawa cha Roho:Kwa kadri walivyokuwa karibu na Yesu, ndivyo walivyokuwa wamoja.
Slide5KAZI YA ROHO MTAKATIFU
“
Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja
.” (Matendo 2:1)Sikukuu ya majuma au Pentekoste (Siku ya 50) ilikuwa ni sherehe maradufu.Upande mmoja, walisherekea sheria iliyotolewa pale mlima Sina. Sasa mwanzo wa Israeli uliambatana na mwanzo wa Kanisa. Sheria na Injili vikakutana.Upande mwingine, hii ilikuwa ni sikukuu ya kutoa shukurani. Walishukuru kwa vipawa vilivyopita na vijavyo kutoka kwa Mungu. Walitoa malimbuko ya mazao yao.Roho Mtakatifu alikusanya matunda (roho 3,000) kwa kuwapa wanafunzi karama ya kunena kwa lugha za watu waliokusanyika Yerusalemu
.
Utofauti
wa
lugha
ulileta
ugawanyiko
kule
Babeli
.
Kizuizi
hicho
kilivunjwa
katika
siku
ya
Pentekoste
,
hivyo
wote
wakawa
na
umoja
katika
Kristo
.
Slide6KUWA NA MUDA PAMOJA
“
Wakawa
wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.” (Matendo 2:42)Watu wengi waliguswa kutubu waliposikia habari za ufufuo na kupaa kwake.
Dhambi
zao
zilisamehewa
kwa
jina
la
Yesu
.
Waliamua
kutenga
muda
wakuwa
na
Mwokozi
wao
tangu
siku
ile
:
Muda wa kusoma BibliaMuda wa kuzungumza wao kwa wao na kujifunza habari za YesuMuda wa kula pamojaMuda wa kuomba pamoja
Kujitoa kwao kulileta umoja kwa Kanisa. Ulikuwa ni ushuhuda wenye nguvu kwa wale waliokuwa wakiwatazama (Matendo 2:43)
Slide7KUWA WAKARIMU
“
Wala
hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao mwenye mahitaji; kwa sababu watu wote waliokuwa na viwanja au nyumba waliviuza, wakaileta thamani ya vitu vile vilivyouzwa.” (Matendo 4:34)Ukarimu
ulikuwa
matokeo
ya
umoja
wao
na
namna
walivyopendana
.
Kila
walichokimiliki
walikishiriki
na
wengine
kwa
kadri
ya
mahitaji yao.Barnaba alikuwa mafano wa ukarimu huu usio na ubunafsi (Matendo 4:36-37)
Kinyume chake, Anania na Safira waliacha choyo ikajaza mioyo yao wakamdaganya Roho Mtakatifu (Matendo 5:1-11)Uchoyo ni dhambi hatari inayodidimiza umoja. Hukaa moyoni na haionekani kwa nje.
Slide8KUWAFIKIRIA WENGINE
Kanisa
la
awali lilihimiza tabia hii kama uthibitisho wa umoja miongoni mwa washiriki.Paulo alihimiza makanisa ya wamataifa kulisaidia kanisa lenye kuhitaji huko Yerusalemu, “mkitajirishwa katika vitu vyote mpate kuwa na ukarimu wote, umpatiao Mungu shukrani kwa kazi yetu.” (2 Wakorintho 9:11) “maana imewapendeza watu wa
Makedonia
na
Akaya
kufanya
changizo
kwa
ajili
ya
watakatifu
huko
Yerusalemu
walio
maskini
.”
(
Warumi
15:26)
Suluhisho
la
uchoyo ilikuwa kuacha kujifikiria mwenyewe na kuanza kuwafikiria wengine
. Ni lazima tu mruhusu Roho Mtakatifu afanye hii kazi mioyoni mwetu.
Slide9UMOJA KATIKA KANISA LA AWALI
Je; Ni
kitu
kipi kilihimiza umoja katika kanisa la awali?MaombiIbadaUshirikakujifunza BibliaKuhubiri injiliUpendo na kujali123456Umoja wao ukazaa ukarimu na kusaidiana, katika kanisa mahalia na miongoni mwa makanisa katika maeneo tofauti ya
kijiografia
.
Slide10“
Baada ya kushuka kwa
Roho Mtakatifu wanafunzi walisonga mbel kumtangaza Mwokozi aliyefufuka. Walifurahia katika utamu wa ushirika na watakatifu. Walikuwa wapole, wenye kuwafikiria wengine, wenye kujikana nafsi, walio tayari kujitoa kafara kwa ajili ya kweli. Katika mahusiano yao ya kila siku walidhihirisha upendo ambao Kristo aliwaamuru kuudhihirisha. Kwa maneno na matendo yasio na ubinafsi walifanya bidi kuangaza upendo ulio mioyoni mwao.”E.G.W. (Testimonies for the Church, vol. 8, cp. 38, p. 241)
Slide11“
Ushuhuda wao katika uanzishwaji
wa kanisa la Kikiristo unatolewa kwetu sio tu kama sehemu muhimu ya historia takatifu lakini pia kama somo. Wote wanaolitaja jina la Kristo wangoje, wakeshe, na kuomba kwa moyo mmoja. Tofauti zote ziwekwe kando, na umoja na upendo wa mmoja kwa mwingine vitawale yote. Kisha maombi yetu yataenda kwa pamoja juu kwa Baba yetu wa Mbinguni yakiwa na nguvu na Imani thabiti. Kisha tukiungoja
kwa
subira
na
tumaini
utimilifu
wa
ahadi
.”
E.G.W. (The Story of Redemption, cp. 32, p. 246)