/
TET 06101  UONGOZI KATIKA TET 06101  UONGOZI KATIKA

TET 06101 UONGOZI KATIKA - PowerPoint Presentation

articlesnote
articlesnote . @articlesnote
Follow
349 views
Uploaded On 2020-08-27

TET 06101 UONGOZI KATIKA - PPT Presentation

ELIMU Hapa Kazi Tu Mwl Msuri I S 122 KUBAINI MIKAKATI YA KUDHIBITI NA KUIMARISHA TAALUMA KATIKA ELIMU YA MSINGI MATOKEO WEZESHI a Kubaini mikakati ya ID: 805838

shule katika kwa elimu katika shule elimu kwa uongozi mikakati nidhamu walimu shuleni wazazi taaluma kuimarisha kuwa kazi malengo

Share:

Link:

Embed:

Download Presentation from below link

Download The PPT/PDF document "TET 06101 UONGOZI KATIKA" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.


Presentation Transcript

Slide1

TET 06101 UONGOZI KATIKA ELIMU“Hapa Kazi Tu”

Mwl

.

Msuri

, I. S

Slide2

1.2.2 KUBAINI MIKAKATI YA KUDHIBITI NA KUIMARISHA TAALUMA KATIKA ELIMU YA MSINGI

MATOKEO WEZESHI

(a)

Kubaini

mikakati

ya

kudhibiti

nidhamu

na

kuimarisha

taaluma

katika

elimu

ya

msingi

.

(b)

Kufafanua

umuhimu

wa

mikakati

ya

kudhibitinidhamu

shuleni

.

Slide3

( c )

Kuainisha

mikakati

ya

kudhibiti

nidhamu

shuleni

.

(d)

Kubainisha

wadau

watakaoshirikishwa

katika

kutekeleza

mikakati

husika

ili

kudhibiti

nidhamu

na

kuimarisha

taaluma

shuleni

.

Slide4

Dhana

Ya

Uongozi

Dhana

ya

uongozi

huelezwa

tofauti

na

wataalamu

mbalimbali

wa

masuala

ya

elimu

.

Wataalamu

wengi

wanaeleza

kuwa

uongozi

ni

hali

ya

ushawishi

katika

matumizi

ya

nafasi

aliyonayo

mtu

kuwashawishi

wengine

katika

kutekeleza

malengo

waliyojiwekea

.

Slide5

Wills

&

Rollie

(2007)

uongozi

ni

matumizi

ya

nafasi

inayohusisha

mambo

ya

uhamasishaji

,

kushirikisha

,

kuratibu

,

kutia

moyo

,

kumotisha

na

kuwapongeza

wale

wanaofanya

vizuri

katika

kutekeleza

malengo

waliyojiwekea

.

Hivyo

kazi

kubwa

ya

kiongozi

ni

kuonyesha

njia

ili

kufikia

malengo

.

Slide6

Uongozi

Katika

Elimu

Uongozi

ni

sanaa

,

talenti

,

kaliba

au

sayansi

inayotumika

kutengeneza

mazingira

wezeshi

(supportive learning environment)

ya

kujifunzia

na

kufundishia

(Day & Harris, 2007).

Hurber

(2004)

uongozi

katika

elimu

ni

zoezi

la au

mchakato

wa

kuwahamasisha

watu

au

kikundi

cha

watu

katika

kutekeleza

malengo

ya

pamoja

wa

liyojiwekea

shuleni

.

Slide7

Uongozi

katika

shule

zetu

unapaswa

kujengwa

katika

misingi

ya

majidiliano

kati

ya

M/

Mkuu

,

walimu

,

wanafunzi

pamoja

na

shule

kwa

ujumla

kama

taasisi

.

Walimu

wakuu

wanayo

nafasi

kubwa

katika

kuhakikisha

kuwa

shule

inafanya

vizuri

kitaaluma

(to develop sound pedagogical practices in a school).

Slide8

Sergiovanni

(1998)

viongozi

katika

elimu

wana

kazi

:

i

.

kuwaendeleza

kitaaluma

ii.

Kuwaendeleza

kitaalam

iii.

Kuwaendeleza

kijamii

hayo

yote

ni

katika

kuimarisha

maarifa

na

ujuzi

wa

mwalimu

na

wanafunzi

katika

mchakato

wa

ufundishaji

na

ujifunzaji

i.e

kusaidia

kuboersha

kazi

zao

za

darasani

.

Slide9

K

azi

kubwa

ya

uongozi

wa

shule

ni

kusimamia

shughuli

zote

za

kila

siku

katika

uendeshaji

wa

shule

.

Mfano

kuhamasisha

,

kushirikisha

,

kupanga

,

kuongoza

ufundishaji

na

kazi

zote

katika

shule

.

Slide10

Ni

muhimu

kwa

uongozi

wa

shule

kumfanya

kila

mtu

/

mdau

ashiriki

kikamilifu

katika

kusimamia

taratibu

za

elimu

.

Mf.

Kuhamasisha

rasilimali

hususani

pesa

katika

kuhakikisha

vifaa

vya

kufundishia

na

kujifunzia

zinapatikana

.

Slide11

Hivyo

malengo

ya

kozi

ni

:

i

.

Kupata

maarifa

na

uelewa

mpana

juu

ya

uongozi

katika

shule

za

msing

.

ii.

Kubaini

na

kuelewa

kazi

tofauti

za

kiongozi

katika

shule

za

msingi

ili

kuhakikisha

uendeshaji

wa

shule

ni

mzuri

na

kunatolewa

elimu

bora

.

i

ii.

Kuwa

viongozi

mahiri

wa

elimu

(pedagogical leadership).

iv.

Kuwa

na

mikakati

ya

kiongozi

,

maarifa

na

ujuzi

katika

kuboresha

ufundishaji

na

ujifunzaji

shuleni

.

Slide12

(a)

Kubaini

mikakati

ya

kudhibiti

nidhamu

na

kuimarisha

taaluma

katika

elimu

ya

msingi

.

Lengo

la

kipengele

hiki

ni

kutoa

uelewa

juu

ya

tabia

mbalimbali

walizonazo

wanafunzi

na

jinsi

ya

kuizuia

ili

kuboresha

elimu

.

Mara

nyingi

unaweza

kusikia

kauli

tofauti

za

walimu

juu

ya

mienendo

ya

wanafunzi

wao

wakiwa

shuleni

na

hata

katika

jamii

inayowazunguka

Slide13

Hivyo

nidhamu

ni

kitu

muhimu

sana

kwa

wanafunzi

kwa

walimu

wao

kwa

sababu

hupelekea

wanafunzi

wakafanya

vizuri

katika

masomo

yao

au

kitaaluma

(MOC, 2000).

Kwa

ujumla

tunaweza

kusema

kuwa

nidhamu

ni

hali

au

jinsi

mtu

anavyoweza

kuonekana

,

kutenda

au

anavyojichukulia

akiwa

peke

yake

au

mbele

ya

watu

(behaves or acts) (MOC, 2000).

Slide14

Uongozi

katika

elimu

ni

muhimu

kubainisha

mikakati

ambayo

itadhibiti

nidhamu

na

kuboresha

taaluma

.

Mikakati

hiyo

lazima

ijenge

mazingira

ambayo

yatawahamasisha

wanafunzi

kusoma

kwa

juhudi

pamoja

na

walimu

kufundisha

kwa

bidii

madarasani

(to enhance pupils learning and development and teacher learning and classroom effectiveness).

Slide15

Mikakati

hiyo

ya

kudhibiti

nidhamu

na

kuimarisha

taaluma

ni

lazima

ionyeshe

njia

na

mwelekeo

wa

ushiriki

wa

wadau

wote

muhimu

katika

kusimamia

elimu

mashuleni

.

Hivyo

,

Uongozi

wa

shule

ni

muhimu

ukatengeneza

mikakati

,

taratibu

na

kanuni

anuai

katika

kuhakikisha

kuwa

shule

inaendeshwa

kulingana

na

sera,

kanuni

na

maelekezo

ya

Wizara

ya

Elimu

.

Slide16

Mikakati

Ya

Kudhibiti

Nidhamu

Na

Kuimarisha

Taaluma

Katika

Elimu

Ya

Msingi

.

1.

Kuimarisha

kamati

ya

nidhamu

shuleni

.

Kamati

hii

isimamiwe

na

walimu

waadilifu

ambao

watakuwa

mfano

wakuigwa

shuleni

na

jamii

kwa

ujumla

.

Slide17

2.

Kuimarisha

Kamati

Ya

Taaluma

.

Taaluma

ndio

msingi

mkuu

(

core?primary

functions of the school)

wa

kuwepo

walimu

na

wanafunzi

shuleni

.

Kamati

iwahusishe

walimu

wenye

uwezo

mzuri

kitaaluma

na

wasio

na

chembe

ya

shaka

katika

ufundishaji

wao

na

kazi

zote

za

ndani

na

nje

ya

darasa

.

Slide18

3

.

Kuimarisha

Ushirikiano

Katika

Ya

Walimu

Na

Wazazi

.

-M/

mkuu

na

walimu

wenzake

yawapasa

kuifanya

shule

kuwa

ni

kituo

cha

malezi

na

kuwaelimisha

wazazi

kuwa

shule

ni

sehemu

ya

kijiji

/

jamii

na

sio

kisiwa

(

Wizara

ya

Elimu

ya

Taifa

(WET),

1995

).

- Bray (2003)

anaseme

ushirikiano

mzuri

hutegemea

msingi

wa

wazazi

kushiriki

kikamilifu

katika

kazi

za

shule

na

hupelekea

uwajibikaji

wa

pamoja

.

Slide19

-

Kuwakaribisha

wazazi

kutoa

mawaidha

,

malezi

na

utamaduni

wa

jamii

.

-

Uongozi

uwashirikishe

wazazi

mapema

unapogundua

makosa

ya

awali

ya

mwanafunzi

ili

chanzo

chake

kieleweke

mapema

na

kupata

utatuzi

mapema

kwa

pamoja

.

Slide20

Tafiti

zinaonyesha

kuwa

ushirikiano

mzuri

katika

ya

walimu

,

wazazi

na

jamii

kwa

ujumla

hupeleke

watoto

k

ujifunza

kwa

furaha

na

hupata

matokeo

mazuri

katika

mitihani

yao

(Booth & Dunne, 1996)

Slide21

4.Kudumisha

Mawasiliano

- Ni

muhimu

kuimarisha

mawasiliano

kati

ya

shule

na

wazazi

katika

kudumisha

nidhamu

na

taaluma

shuleni

.

-

Mawasiliano

yakiimarishwa

huleta

maana

muafaka

ya

ushawishi

kwa

mtu

binafsi

au

kikundi

cha

watu

katika

mambo

ya

shule

(Hoy &

Miskel

, 2001).

Slide22

Umuhimu

wa

mawasiliano

.

-

huwezesha

kutoa

malengo

ya

shule

-

hufanikisha

majukumu

yanayohusu

uratibu

wa

shughuli

za

shule

-

Husaidia

kusambaza

habari

kwa

wahusika

wote

kuhusu

shule

.

-

husaidia

katika

kufanya

maamuzi

-

Humotisha

na

hushawishi

wadau

wa

elimu

kuhusu

shule

,

malengo

na

majukumu

ya

shule

yao

.

Slide23

5.

Vikao

vya

Wazazi

-

Vikao

ni

nguzo

muhimu

sana

katika

uendeshaji

wa

shule

.

-

Uongozi

wa

shule

unapaswa

kujua

umuhimu

wa

familia

katika

kusimamia

nidhamu

na

taaluma

shuleni

(WET, 1995).

-

Lengo

kuu

la

vikao

ni

kutoa

fursa

ya

kubadilishana

mawazo

,

kufafanua

baadhi

ya

mambo

na

kuainisha

mikakati

mbalimbali

ya

kuboresha

mazingira

ya

shule

.

Slide24

6.

Siku

Ya

Wazazi

(Parents’ Day)

-

huweza

kufanyika

kila

muhula

au mara2

kwa

mwaka

ili

:

i

.

Wazazi

wapate

nafasi

ya

kuizuru

shule

,

kuona

kazi

za

watoto

wao

madarasani

na

nje

ya

darasa

na

kupata

fursa

ya

kutoa

maoni

yao

panapohitajika

.

ii.

Walimu

watoe

taarifa

zao

kwa

wazazi

kuona

mbinu

zipi

zingetumika

kudumisha

nidhamu

na

kuinua

maendeleo

ya

shule

kwa

ujumla

.

Slide25

7.Dira, Malengo Na Madhumni Ya Shule Yawe Wazi (Shared Vision)

Related Contents


Next Show more