Somo la 11 kwa ajili Septemba 12 2020 These things I have written to you who believe in the name of the Son of God that you may know that you have eternal life and that you may continue to believe in the name of the Son of God ID: 812975
Download The PPT/PDF document "KUELEZEA HABARI ZA YESU" is the property of its rightful owner. Permission is granted to download and print the materials on this web site for personal, non-commercial use only, and to display it on your personal computer provided you do not modify the materials and that you retain all copyright notices contained in the materials. By downloading content from our website, you accept the terms of this agreement.
Slide1
KUELEZEA HABARI ZA YESU
Somo la
11
kwa ajili
Septemba
12, 2020
Slide2“These things I have written to you who believe in the name of the Son of God, that you may know that you have eternal life, and that you may continue to believe in the name of the Son of God
”
(1 John 5:13 NKJV)
Slide3Kabla
na Baada ya YesuWale waliomshiriki YesuKukataa hasira
na
kugawa upendoKukataa uovu na kumshiriki Yesu na wengineKuelezea habari za Yesu:Uhakikisho wa WokovuKumuelezea Yesu
Tunao ujumbe wa ajabu wa kuushiriki na wengine: Neema ya Mungu ipo kwa kila mmoja, sio tu kwa watu fulani walioteuliwa. Injili ni kwa kila mmoja. Msamaha, Rehema, huruma, na Neema vipo kwa kila mmoja.Yesu hubadilisha maisha yetu kwa kutumia upendo wake, na anatuhimiza kushiriki uzoefu huu na wengine ili waweze kubadilishwa.
Slide4KABLA NA BAADA YA YESU
“hata wakati ule tulipokuwa wafu kwa sababu ya makosa yetu; alituhuisha pamoja na Kristo; yaani, tumeokolewa kwa neema.
” (Waefeso 2:5)
Slide5KUKATAA HASIRA NA KUGAWA UPENDO
“
Wapenzi ikiwa Mungu
alitupenda
sisi hivi, imetupasa na sisi kupendana
.” (1 Yohana 4:11)Watu wa kijiji cha Samaria walikataa kumpatia Yesu na mitume
wake malala pa kulala.Yakobo na Yohana walijazwa na hasira,
wakaomba ruhusa ili wakiangamize kijiji kwa moto wa
Mbinguni kam alivyofanya Eliya (2 Wafalme 1:9-15).
Hata hivyo, uhusiano wao na Yesu
ulibadilisha hisia zao.Yakobo alipoteza
maisha yake sababu ya
kumshiriki Yesu kwa wengine (Matendo 12:1-2).
Injili
na
waraka
wa
Yohana
vimejaa
upendo
kwa Mungu na kwa majirani (Yn. 13:35; 1Yn. 4:8; 2Yn. 1:6; 3Yn. 1:6-7).Hii ni nguvu ya Yesu ibadilishayo inayotenda kazi ndani yetu.
Slide6KUKATAA UOVU NA KUMSHIRIKI YESU NA WENGINE“
Naye
alipofika ng'ambo,
katika
nchi ya Wagerasi, watu wawili
wenye pepo walikutana naye, wanatoka makaburini, wakali mno, hata mtu asiweze kuipitia njia ile[…]” (Mathayo 8:28)
Hakuna ambaye angeweza kupita katika eneo la Gadara bila kushambuliwa
na hawa watu waliopagawana pepo hatari. Yesu
na wanafunzi wake walitia nanga hapo.
Hata
hivyo
,
maisha
ya
hao
wenye
pepo,
yalibadilika
kabisa
baada
ya
kukutana
na
Yesu
.
Waliponywa kimwili, kiakili, kihisia na kiroho.
kisha, Yesu aliwataka wakaeleza habari zao kwa watu wote katika eneo hilo.Walikuwa na kisa cha kusimulia kwa sababu nguvu ya Kristo ilikuwa imebadilisha maisha yao. Wengeeleza ushuhuda wao binafsi na kuwatia moyo wengine ili wamruhusu Yesu abadilishe maisha yao.
Slide7UHAKIKISHO WA WOKOVU“
Nimewaandikia
ninyi mambo hayo, ili
mjue
ya kuwa mna uzima wa milele,
ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu.” (1 Yohana 5:13)Ujumbe wa Biblia uko wazi: wale wanaomwamini Yesu wataokolewa (
Yn. 3:15, 36; 6:40, 47; Matendo
16:31; 1Yn. 5:13). Hatupaswi
kusubiri tuwe
wema vya
kutosha
ili
tuokolewe.
Wokovu
unaweza
kupotea
(
Kut
. 32:33; Mt. 10:28;
2P. 2:20-21;
Ufu
. 3:5, 11),
Lakini
hili
linaweza
kutokea
kama
tu
tutamkataa Mungu
kwa makusudi.Uhakikisho wa wokovu huimarisha ushuhuda wetu. Ni rahisi kushiriki/kueleza jambo
unalolifahamu kwa uhakika.
Daima
tafuta
fursa ya kuwatia moyo wengine ili wapokee zawadi ya uzima wa milele.
Slide8KUMUELEZEA YESU“Basi
,
ndugu zangu, nawasihi, kwa
huruma
zake Mungu, itoeni miili yenu iwe
dhabihu iliyo hai, takatifu, ya kumpendeza Mungu, ndiyo ibada yenu yenye maana.” (Warumi 12:1)Yesu anatuomba tumpatia kila kitu (Lk. 9:23). Lakini yeye ametupatia
nini? (see Yn. 1:12; 10:10; 14:27; 1kor. 1:30)
Tunapogundua kila
kitu Yesu alichofanya kwa ajili yetu, mwitikio
wetu wa asili ni kutoa kila
kitu kwake kwa kujikana bila kujali
gharama yake na kuwaelezea wengine
maajabu aliyotendea kwetu na kwa
ajili
yetu
.
Slide9“Tunapaswa kuwa mashahidi wa Kristo
;
na hivi tutakuwa pale tu tunapokua kila
siku
kufikia ukamilifu wa kimo cha wanaume na wanawake
katika Kristo. Ni upendeleo wetu kukua zaidi na zaidi na kuwa kama yeye kila siku. Kisha tutapata nguvu ya kuelezea upendo wetu kwake kwa sauti ya
juu na safi, mawazo
yetu yatapanuka na
kuwa ya kina, na
hukumu zetu zitakuwa
zenye maana
na za kweli,
wakati huo
shuhuda
zetu
zitakuwa
zenye
uhai
zaidi
na za uhakikaE.G.W. (Sons and Daughters of God, March 6)